Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Maombolezo—Yaliyomo

      • Hasira ya Yehova dhidi ya Yerusalemu

        • Hakulihurumia (2)

        • Yehova ni kama adui yake (5)

        • Machozi yamwagwa kwa ajili ya Sayuni (11-13)

        • Wapita njia walidharau jiji lililokuwa maridadi awali (15)

        • Maadui washangilia kuanguka kwa Sayuni (17)

Maombolezo 2:1

Marejeo

  • +Omb 2:15
  • +1Nya 28:2; Zb 132:7; Isa 60:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 9

    9/1/1988, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 9

Maombolezo 2:2

Marejeo

  • +Kum 28:52; Mik 5:11
  • +Eze 21:26, 27
  • +Isa 39:7; 43:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 2:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ameikata kila pembe ya.”

Marejeo

  • +Zb 74:10, 11
  • +Kum 32:22; Isa 42:25; Yer 7:20

Maombolezo 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ameukanyaga.”

Marejeo

  • +Kum 28:63; Isa 63:10; Yer 21:5
  • +2Fa 25:21
  • +Yer 4:4
  • +Yer 10:20

Maombolezo 2:5

Marejeo

  • +Yer 30:14

Maombolezo 2:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ameharibu.”

Marejeo

  • +2Fa 25:8, 9; 2Nya 36:19; Isa 63:18; 64:11
  • +Omb 1:4
  • +Yer 52:24, 27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 9

    9/1/1988, kur. 26-27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 9

Maombolezo 2:7

Marejeo

  • +Law 26:31; Yer 26:6; 52:12, 13; Eze 24:21; Mik 3:12
  • +2Nya 36:19
  • +Zb 74:4

Maombolezo 2:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “usimeze.”

Marejeo

  • +2Fa 25:10; Yer 39:8
  • +2Fa 21:13; Isa 28:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Upeo wa Ufunuo, uku. 162

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 162

Maombolezo 2:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mafundisho.”

Marejeo

  • +Ne 1:3; Yer 14:2
  • +Kum 28:15, 36; 2Fa 24:15; 25:7; Omb 4:20; Eze 12:13; Da 1:3, 6
  • +Zb 74:9; Yer 23:16; Eze 7:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Yeremia, uku. 73

  • Fahirishi ya Machapisho

    jr 73

Maombolezo 2:10

Marejeo

  • +Isa 3:26
  • +Yer 6:26; Eze 7:18

Maombolezo 2:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Mfano wa kishairi ambao huenda unaonyesha huruma au sikitiko.

Marejeo

  • +Omb 3:48
  • +Yer 14:17
  • +Yer 11:22; Omb 2:19; 4:4

Maombolezo 2:12

Marejeo

  • +Kum 28:49, 51; 2Fa 25:3; Isa 3:1; Yer 18:21

Maombolezo 2:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jeraha lako la kuvunjika.”

Marejeo

  • +Yer 14:17; Da 9:12
  • +Yer 30:12

Maombolezo 2:14

Marejeo

  • +Yer 2:8; 27:14; Eze 13:2, 3
  • +Yer 23:14
  • +Yer 23:32; 27:9; Mik 3:5; Sef 3:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 2:15

Marejeo

  • +Eze 25:2, 6
  • +1Fa 9:8; Yer 25:9
  • +Zb 48:2; Eze 16:14

Maombolezo 2:16

Marejeo

  • +Yer 51:34
  • +Mik 4:11
  • +Oba 13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 9

Maombolezo 2:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ameikweza pembe ya.”

Marejeo

  • +Yer 18:11; Mik 2:3
  • +2Fa 23:27
  • +Law 26:14, 17; Kum 28:15
  • +Eze 5:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Yeremia, uku. 154

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    jr 154; w07 6/1 9

Maombolezo 2:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “binti ya jicho lako asipumzike.”

Maombolezo 2:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi za.”

Marejeo

  • +Isa 51:20; Omb 4:9; Eze 5:16

Maombolezo 2:20

Marejeo

  • +Law 26:29; Kum 28:53; Yer 19:9; Omb 4:10; Eze 5:10
  • +Eze 9:6, 7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 9

    8/1/1989, uku. 29

    9/1/1988, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 9

Maombolezo 2:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Wanawali.”

Marejeo

  • +Kum 28:49, 50; 2Nya 36:17
  • +Yer 9:21; 18:21
  • +Yer 13:14; 21:7; Omb 3:43; Eze 5:11; 9:6

Maombolezo 2:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “niliowazaa wakiwa na afya.”

Marejeo

  • +Kum 16:16
  • +Sef 1:18
  • +Kum 28:18

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Omb. 2:1Omb 2:15
Omb. 2:11Nya 28:2; Zb 132:7; Isa 60:13
Omb. 2:2Kum 28:52; Mik 5:11
Omb. 2:2Eze 21:26, 27
Omb. 2:2Isa 39:7; 43:28
Omb. 2:3Zb 74:10, 11
Omb. 2:3Kum 32:22; Isa 42:25; Yer 7:20
Omb. 2:4Kum 28:63; Isa 63:10; Yer 21:5
Omb. 2:42Fa 25:21
Omb. 2:4Yer 4:4
Omb. 2:4Yer 10:20
Omb. 2:5Yer 30:14
Omb. 2:62Fa 25:8, 9; 2Nya 36:19; Isa 63:18; 64:11
Omb. 2:6Omb 1:4
Omb. 2:6Yer 52:24, 27
Omb. 2:7Law 26:31; Yer 26:6; 52:12, 13; Eze 24:21; Mik 3:12
Omb. 2:72Nya 36:19
Omb. 2:7Zb 74:4
Omb. 2:82Fa 25:10; Yer 39:8
Omb. 2:82Fa 21:13; Isa 28:17
Omb. 2:9Ne 1:3; Yer 14:2
Omb. 2:9Kum 28:15, 36; 2Fa 24:15; 25:7; Omb 4:20; Eze 12:13; Da 1:3, 6
Omb. 2:9Zb 74:9; Yer 23:16; Eze 7:26
Omb. 2:10Isa 3:26
Omb. 2:10Yer 6:26; Eze 7:18
Omb. 2:11Omb 3:48
Omb. 2:11Yer 14:17
Omb. 2:11Yer 11:22; Omb 2:19; 4:4
Omb. 2:12Kum 28:49, 51; 2Fa 25:3; Isa 3:1; Yer 18:21
Omb. 2:13Yer 14:17; Da 9:12
Omb. 2:13Yer 30:12
Omb. 2:14Yer 2:8; 27:14; Eze 13:2, 3
Omb. 2:14Yer 23:14
Omb. 2:14Yer 23:32; 27:9; Mik 3:5; Sef 3:4
Omb. 2:15Eze 25:2, 6
Omb. 2:151Fa 9:8; Yer 25:9
Omb. 2:15Zb 48:2; Eze 16:14
Omb. 2:16Yer 51:34
Omb. 2:16Mik 4:11
Omb. 2:16Oba 13
Omb. 2:17Yer 18:11; Mik 2:3
Omb. 2:172Fa 23:27
Omb. 2:17Law 26:14, 17; Kum 28:15
Omb. 2:17Eze 5:11
Omb. 2:19Isa 51:20; Omb 4:9; Eze 5:16
Omb. 2:20Law 26:29; Kum 28:53; Yer 19:9; Omb 4:10; Eze 5:10
Omb. 2:20Eze 9:6, 7
Omb. 2:21Kum 28:49, 50; 2Nya 36:17
Omb. 2:21Yer 9:21; 18:21
Omb. 2:21Yer 13:14; 21:7; Omb 3:43; Eze 5:11; 9:6
Omb. 2:22Kum 16:16
Omb. 2:22Sef 1:18
Omb. 2:22Kum 28:18
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Maombolezo 2:1-22

Maombolezo

א [Aleph]

2 Jinsi Yehova alivyomfunika binti ya Sayuni katika wingu la hasira yake!

Ameutupa chini urembo wa Israeli kutoka mbinguni mpaka duniani.+

Hajakumbuka kiti cha miguu yake+ katika siku ya hasira yake.

ב [Beth]

 2 Yehova ameyameza makao yote ya Yakobo bila huruma.

Katika hasira yake amebomoa ngome za binti ya Yuda.+

Ameushusha chini ardhini na kuuchafua ufalme+ na wakuu wake.+

ג [Gimel]

 3 Kwa hasira kali amezikata nguvu zote za* Israeli.

Aliuondoa mkono wake wa kuume adui alipokaribia,+

Na katika Yakobo aliendelea kuwaka kama moto ulioteketeza kila kitu kilicho karibu.+

ד [Daleth]

 4 Ameukunja* upinde wake kama adui; mkono wake wa kuume uko tayari kama adui;+

Aliendelea kuwaua wote wanaotamanika machoni.+

Naye aliimwaga ghadhabu yake kama moto+ katika hema la binti ya Sayuni.+

ה [He]

 5 Yehova amekuwa kama adui;+

Ameimeza Israeli.

Ameimeza minara yake yote;

Ameziharibu ngome zake zote.

Na katika binti ya Yuda anafanya maombolezo na kilio kiwe kingi.

ו [Waw]

 6 Anakitendea kwa ukatili kibanda chake,+ kama kibanda kilicho katika bustani.

Amekomesha* sherehe yake.+

Yehova amesababisha sherehe na sabato zisahauliwe Sayuni,

Na kwa ghadhabu yake kali hamheshimu mfalme na kuhani.+

ז [Zayin]

 7 Yehova ameikataa madhabahu yake;

Amedharau mahali pake patakatifu.+

Amesalimisha kuta za minara yake yenye ngome mikononi mwa adui.+

Wameinua sauti yao ndani ya nyumba ya Yehova,+ kama inavyokuwa siku ya sherehe.

ח [Heth]

 8 Yehova ameazimia kuuharibu ukuta wa binti ya Sayuni.+

Ameinyoosha kamba ya kupimia.+

Hajauzuia mkono wake usilete maangamizi.*

Naye husababisha maboma na kuta ziomboleze.

Zote pamoja zimedhoofishwa.

ט [Teth]

 9 Malango yake yamezama chini ardhini.+

Ameyaharibu na kuyavunja makomeo yake.

Mfalme wake na wakuu wake wako miongoni mwa mataifa.+

Hakuna sheria;* hata manabii wake hawapati maono kutoka kwa Yehova.+

י [Yod]

10 Wazee wa binti ya Sayuni wanaketi ardhini wakiwa kimya.+

Wanarusha mavumbi vichwani mwao na kuvaa nguo za magunia.+

Mabikira wa Yerusalemu wameinamisha vichwa vyao mpaka ardhini.

כ [Kaph]

11 Macho yangu yamechoka kabisa kwa sababu ya kumwaga machozi.+

Matumbo yangu yanasukasuka.

Ini langu limemwagika ardhini, kwa sababu ya kuanguka kwa binti ya* watu wangu,+

Kwa sababu ya watoto wadogo na watoto wanaonyonya wanaozimia kwenye viwanja vya mji.+

ל [Lamed]

12 Wanaendelea kuwauliza mama zao, “Iko wapi nafaka na divai?”+

Wanapozimia kama mtu aliyejeruhiwa katika viwanja vya mji,

Huku uhai wao ukitoka polepole wakiwa mikononi mwa mama zao.

מ [Mem]

13 Ninaweza kutumia nini kama ushahidi,

Au ninaweza kukufananisha na nini, Ee binti ya Yerusalemu?

Ninaweza kukulinganisha na nini, ili nikufariji, Ee bikira binti ya Sayuni?

Kwa maana jeraha lako* ni kubwa kama bahari.+ Ni nani anayeweza kukuponya?+

נ [Nun]

14 Maono ambayo manabii wako waliona kwa ajili yako yalikuwa ya uwongo na yasiyofaa kitu,+

Nao hawakufunua kosa lako ili kuzuia usipelekwe utekwani,+

Bali waliendelea kukupa maono yenye ujumbe wa uwongo na unaopotosha.+

ס [Samekh]

15 Wote wanaopita barabarani wanakupigia makofi kwa dharau.+

Wanapiga mluzi kwa mshangao+ na kumtikisia vichwa vyao binti ya Yerusalemu, wakisema:

“Je, hili ndilo jiji walilosema hivi kulihusu: ‘Lina urembo mkamilifu, ni shangwe ya dunia yote’?”+

פ [Pe]

16 Maadui wako wote wamefungua kinywa chao dhidi yako.

Wanapiga mluzi na kusaga meno yao wakisema: “Tumemmeza.+

Hii ndiyo siku tuliyokuwa tukiingojea!+ Imefika, nasi tumeiona!”+

ע [Ayin]

17 Yehova ametenda alilokusudia;+ ametekeleza neno lake,+

Aliloamuru zamani za kale.+

Amebomoa bila huruma.+

Amemruhusu adui ashangilie msiba wako; amezikweza nguvu za* wapinzani wako.

צ [Tsade]

18 Moyo wao unamlilia Yehova kwa sauti, Ee ukuta wa binti ya Sayuni.

Machozi na yatiririke kama mto mchana na usiku.

Usipumzike, macho yako yasiache kulia.*

ק [Qoph]

19 Inuka! Lia kwa sauti wakati wa usiku, mwanzoni mwa makesha ya usiku.

Umwage moyo wako kama maji mbele za uso wa Yehova.

Mwinulie mikono yako kwa ajili ya uhai wa* watoto wako,

Wanaozimia kwenye kila pembe ya barabara kwa sababu ya njaa kali.+

ר [Resh]

20 Tazama, Ee Yehova, umwone yule uliyemtesa vikali.

Je, wanawake wanapaswa kuendelea kula uzao wao wenyewe, watoto wao wenyewe waliokomaa,+

Au, je, makuhani na manabii wanapaswa kuuawa mahali patakatifu pa Yehova?+

ש [Shin]

21 Mvulana na mwanamume mzee wamelala chini barabarani wakiwa wamekufa.+

Mabikira* wangu na vijana wangu wa kiume wameuawa kwa upanga.+

Umeua katika siku ya hasira yako; umechinja bila huruma.+

ת [Taw]

22 Unakusanya vitisho kutoka kila upande kana kwamba ni siku ya sherehe.+

Katika siku ya ghadhabu ya Yehova, hakuna yeyote aliyeponyoka wala kuokoka;+

Wale niliowazaa* na kuwalea, adui yangu aliwaangamiza kabisa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki