Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Yehoahazi, mfalme wa Yuda (1-3)

      • Yehoyakimu, mfalme wa Yuda (4-8)

      • Yehoyakini, mfalme wa Yuda (9, 10)

      • Sedekia, mfalme wa Yuda (11-14)

      • Uharibifu wa Yerusalemu (15-21)

      • Koreshi aagiza hekalu lijengwe upya (22, 23)

2 Mambo ya Nyakati 36:1

Marejeo

  • +1Nya 3:15; Yer 22:11
  • +2Fa 23:30, 31

2 Mambo ya Nyakati 36:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Talanta moja ilikuwa na uzito wa kilogramu 34.2. Angalia Nyongeza B14.

Marejeo

  • +2Fa 18:14; 23:33

2 Mambo ya Nyakati 36:4

Marejeo

  • +2Fa 23:29; Yer 46:2
  • +2Fa 23:34; Yer 22:11, 12

2 Mambo ya Nyakati 36:5

Marejeo

  • +Yer 26:20, 21; 36:32
  • +2Fa 23:36, 37

2 Mambo ya Nyakati 36:6

Marejeo

  • +2Fa 24:1; 25:1; Yer 25:1
  • +2Fa 24:16; Da 1:1

2 Mambo ya Nyakati 36:7

Marejeo

  • +Ezr 1:7; Yer 27:16; Da 1:2; 5:2

2 Mambo ya Nyakati 36:8

Marejeo

  • +2Fa 24:5, 6

2 Mambo ya Nyakati 36:9

Marejeo

  • +Yer 22:24; Mt 1:12
  • +2Fa 24:8, 9

2 Mambo ya Nyakati 36:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Labda, majira ya kuchipua.

Marejeo

  • +2Fa 24:10; Yer 29:1, 2; Eze 1:2
  • +2Fa 24:13; Yer 27:17, 18
  • +2Fa 24:17

2 Mambo ya Nyakati 36:11

Marejeo

  • +Yer 37:1
  • +2Fa 24:18-20; Yer 52:1-3

2 Mambo ya Nyakati 36:12

Marejeo

  • +Yer 21:1, 2; 34:2; 38:14, 24

2 Mambo ya Nyakati 36:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akafanya shingo yake iwe ngumu.”

Marejeo

  • +2Fa 24:20; Eze 17:12-15

2 Mambo ya Nyakati 36:14

Marejeo

  • +2Fa 16:11; Eze 8:10, 11

2 Mambo ya Nyakati 36:16

Marejeo

  • +2Nya 30:1, 10
  • +Yer 5:12
  • +Yer 20:7
  • +Zb 74:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    6/8/2003, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    g03 6/8 19

2 Mambo ya Nyakati 36:17

Marejeo

  • +2Fa 24:2
  • +Law 26:31; Kum 28:25; Zb 79:2
  • +Eze 9:7
  • +Omb 2:21
  • +Kum 28:49-51

2 Mambo ya Nyakati 36:18

Marejeo

  • +2Fa 20:16, 17; Isa 39:6; Yer 27:19-22; 52:17

2 Mambo ya Nyakati 36:19

Marejeo

  • +Zb 74:4-7
  • +Yer 52:14
  • +1Fa 9:7; 2Fa 25:9, 10; Zb 79:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” kur. 68-69, 156

2 Mambo ya Nyakati 36:20

Marejeo

  • +2Fa 25:21; Zb 137:1
  • +Yer 27:6, 7
  • +Ezr 1:1-3

2 Mambo ya Nyakati 36:21

Marejeo

  • +Yer 25:9
  • +Law 26:34
  • +Yer 25:12; Zek 1:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2006, uku. 32

    “Kila Andiko,” kur. 84, 285

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 11/15 32

2 Mambo ya Nyakati 36:22

Marejeo

  • +Isa 44:28; 45:1
  • +Yer 29:14; 32:42; 33:10, 11
  • +Ezr 1:1-4

2 Mambo ya Nyakati 36:23

Marejeo

  • +Da 5:18
  • +Isa 44:28
  • +Ezr 7:12, 13

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 36:11Nya 3:15; Yer 22:11
2 Nya. 36:12Fa 23:30, 31
2 Nya. 36:32Fa 18:14; 23:33
2 Nya. 36:42Fa 23:29; Yer 46:2
2 Nya. 36:42Fa 23:34; Yer 22:11, 12
2 Nya. 36:5Yer 26:20, 21; 36:32
2 Nya. 36:52Fa 23:36, 37
2 Nya. 36:62Fa 24:1; 25:1; Yer 25:1
2 Nya. 36:62Fa 24:16; Da 1:1
2 Nya. 36:7Ezr 1:7; Yer 27:16; Da 1:2; 5:2
2 Nya. 36:82Fa 24:5, 6
2 Nya. 36:9Yer 22:24; Mt 1:12
2 Nya. 36:92Fa 24:8, 9
2 Nya. 36:102Fa 24:10; Yer 29:1, 2; Eze 1:2
2 Nya. 36:102Fa 24:13; Yer 27:17, 18
2 Nya. 36:102Fa 24:17
2 Nya. 36:11Yer 37:1
2 Nya. 36:112Fa 24:18-20; Yer 52:1-3
2 Nya. 36:12Yer 21:1, 2; 34:2; 38:14, 24
2 Nya. 36:132Fa 24:20; Eze 17:12-15
2 Nya. 36:142Fa 16:11; Eze 8:10, 11
2 Nya. 36:162Nya 30:1, 10
2 Nya. 36:16Yer 5:12
2 Nya. 36:16Yer 20:7
2 Nya. 36:16Zb 74:1
2 Nya. 36:172Fa 24:2
2 Nya. 36:17Law 26:31; Kum 28:25; Zb 79:2
2 Nya. 36:17Eze 9:7
2 Nya. 36:17Omb 2:21
2 Nya. 36:17Kum 28:49-51
2 Nya. 36:182Fa 20:16, 17; Isa 39:6; Yer 27:19-22; 52:17
2 Nya. 36:19Zb 74:4-7
2 Nya. 36:19Yer 52:14
2 Nya. 36:191Fa 9:7; 2Fa 25:9, 10; Zb 79:1
2 Nya. 36:202Fa 25:21; Zb 137:1
2 Nya. 36:20Yer 27:6, 7
2 Nya. 36:20Ezr 1:1-3
2 Nya. 36:21Yer 25:9
2 Nya. 36:21Law 26:34
2 Nya. 36:21Yer 25:12; Zek 1:12
2 Nya. 36:22Isa 44:28; 45:1
2 Nya. 36:22Yer 29:14; 32:42; 33:10, 11
2 Nya. 36:22Ezr 1:1-4
2 Nya. 36:23Da 5:18
2 Nya. 36:23Isa 44:28
2 Nya. 36:23Ezr 7:12, 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 36:1-23

Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati

36 Kisha watu nchini wakamchukua Yehoahazi+ mwana wa Yosia na kumweka kuwa mfalme huko Yerusalemu baada ya baba yake.+ 2 Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka 23 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miezi mitatu huko Yerusalemu.⁠ 3 Hata hivyo, mfalme wa Misri akamwondoa madarakani huko Yerusalemu na kuitoza nchi talanta 100 za fedha * na talanta moja ya dhahabu.+ 4 Zaidi ya hayo, mfalme wa Misri alimweka Eliakimu ndugu ya Yehoahazi kuwa mfalme wa Yuda na Yerusalemu na kubadili jina lake kuwa Yehoyakimu; lakini Neko+ akamchukua Yehoahazi ndugu yake na kumpeleka Misri.+

5 Yehoyakimu+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 11 huko Yerusalemu. Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova Mungu wake.+ 6 Mfalme Nebukadneza+ wa Babiloni alipanda kuja kumshambulia, akamfunga kwa pingu mbili za shaba na kumpeleka Babiloni.+ 7 Pia Nebukadneza alichukua baadhi ya vyombo vya nyumba ya Yehova, akavipeleka Babiloni na kuviweka katika jumba lake la kifalme huko Babiloni.+ 8 Na mambo mengine katika historia ya Yehoyakimu, mambo yenye kuchukiza aliyotenda na mambo yasiyofaa yaliyopatikana dhidi yake, yameandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Israeli na wa Yuda; na Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.+

9 Yehoyakini+ alikuwa na umri wa miaka 18 alipoanza kutawala, alitawala kwa miezi mitatu na siku kumi huko Yerusalemu; naye aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova.+ 10 Mwanzoni mwa mwaka,* Mfalme Nebukadneza aliagiza aletwe Babiloni,+ pamoja na vyombo vyenye thamani vya nyumba ya Yehova.+ Akamweka Sedekia ndugu ya baba yake kuwa mfalme wa Yuda na Yerusalemu.+

11 Sedekia+ alikuwa na umri wa miaka 21 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 11 huko Yerusalemu.+ 12 Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova Mungu wake. Hakujinyenyekeza mbele ya nabii Yeremia,+ aliyesema mambo aliyoagizwa na Yehova. 13 Pia alimwasi Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa jina la Mungu, akaendelea kuwa mkaidi* na mwenye moyo mgumu na kukataa kumgeukia Yehova Mungu wa Israeli. 14 Wakuu wote wa makuhani na pia watu walikosa uaminifu kupita kiasi, wakitenda mambo yote yenye kuchukiza ya mataifa, nao wakaichafua nyumba ya Yehova+ aliyokuwa ameitakasa Yerusalemu.

15 Yehova Mungu wa mababu zao aliendelea kuwaonya kupitia wajumbe wake, aliwaonya tena na tena, kwa sababu aliwahurumia watu wake na makao yake. 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki wajumbe wa Mungu wa kweli,+ wakadharau maneno yake+ na kuwakejeli manabii wake,+ mpaka ghadhabu ya Yehova ilipokuja dhidi ya watu wake,+ hivi kwamba hawangeweza kuponywa.

17 Kwa hiyo akamleta mfalme wa Wakaldayo awashambulie,+ ambaye aliwaua wanaume wao vijana kwa upanga+ katika nyumba ya mahali pao patakatifu;+ hakumhurumia kijana wa kiume wala bikira, mzee wala aliye dhaifu.+ Mungu alitia kila kitu mikononi mwake.+ 18 Alipeleka kila kitu Babiloni, vyombo vyote vya nyumba ya Mungu wa kweli, vikubwa na vidogo, na pia hazina za nyumba ya Yehova na hazina za mfalme na wakuu wake.+ 19 Aliiteketeza kabisa nyumba ya Mungu wa kweli,+ akaubomoa ukuta wa Yerusalemu,+ akateketeza kwa moto minara yake yote yenye ngome, na kuharibu kila kitu chenye thamani.+ 20 Aliwachukua mateka na kuwapeleka Babiloni wale ambao hawakuuawa kwa upanga,+ nao wakawa watumishi wake+ na wa wanawe mpaka ufalme wa Uajemi ulipoanza kutawala,+ 21 ili kutimiza neno la Yehova lililosemwa na Yeremia,+ mpaka nchi ilipolipa sabato zake.+ Sikuzote ilipokuwa ukiwa ilishika sabato, ili kutimiza miaka 70.+

22 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Koreshi+ wa Uajemi, ili neno la Yehova lililosemwa na Yeremia+ litimie, Yehova aliichochea roho ya Mfalme Koreshi wa Uajemi atoe tangazo katika ufalme wake wote, ambalo pia aliliandika,+ akisema: 23 “Mfalme Koreshi wa Uajemi anasema hivi: ‘Yehova Mungu wa mbinguni amenipa falme zote za dunia,+ naye ameniagiza nimjengee nyumba Yerusalemu, nchini Yuda.+ Yeyote miongoni mwenu, ninyi watu wake wote, Yehova Mungu wake na awe pamoja naye, na apande kwenda huko.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki