Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waebrania 10:1

Marejeo

  • +Kol 2:17; Ebr 8:5
  • +Ebr 7:19; 9:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2000, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 8/15 17

Waebrania 10:2

Marejeo

  • +Gal 3:21

Waebrania 10:3

Marejeo

  • +Law 16:30, 34

Waebrania 10:4

Marejeo

  • +Isa 1:11; Mik 6:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1991, uku. 12

Waebrania 10:5

Marejeo

  • +Zb 50:8; Amo 5:22
  • +Zb 40:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 6 2017, uku. 8

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2000, uku. 18

    7/1/1996, uku. 14

    10/15/1990, uku. 12

    8/15/1986, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 8/15 18; w96 7/1 14

Waebrania 10:6

Marejeo

  • +Zb 40:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2000, uku. 18

    10/15/1990, uku. 12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 8/15 18

Waebrania 10:7

Marejeo

  • +Zb 40:7
  • +Zb 40:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2012, uku. 28

    8/15/2000, uku. 18

    3/1/1995, uku. 14

    3/1/1994, uku. 30

    10/15/1990, uku. 12

    “Kila Andiko,” uku. 105

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 10/15 28; w00 8/15 18

Waebrania 10:8

Marejeo

  • +Zb 40:6
  • +Law 17:5

Waebrania 10:9

Marejeo

  • +Zb 40:8; Yoh 6:38
  • +Kol 2:14; Ebr 8:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Upeo wa Ufunuo, uku. 161

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 161

Waebrania 10:10

Marejeo

  • +Zb 40:8; Gal 1:4
  • +Yoh 17:19; 1Ko 6:11; Ebr 13:12
  • +Efe 5:2
  • +Ro 6:10; Ebr 9:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    7/2020, uku. 31

    Ufahamu,

    Upeo wa Ufunuo, uku. 161

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1996, kur. 14-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 161; w96 7/1 14-15

Waebrania 10:11

Marejeo

  • +1Sa 2:28; 1Nya 24:19; 2Nya 29:11
  • +Kut 29:38; Hes 28:3
  • +Ebr 7:18, 27; 10:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2000, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 11/15 11

Waebrania 10:12

Marejeo

  • +Ebr 9:28
  • +Ro 8:34; Kol 3:1

Waebrania 10:13

Marejeo

  • +Zb 110:1; Mdo 2:35; 1Ko 15:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kuishi Milele, kur. 136-137

Waebrania 10:14

Marejeo

  • +Ebr 9:28
  • +Ebr 7:11, 19

Waebrania 10:15

Marejeo

  • +Yer 1:4

Waebrania 10:16

Marejeo

  • +Yer 31:33; Ebr 8:10

Waebrania 10:17

Marejeo

  • +Yer 31:34; Ebr 8:12

Waebrania 10:18

Marejeo

  • +Yoh 8:36
  • +Yoh 20:23

Waebrania 10:19

Marejeo

  • +Yoh 14:6; Ro 5:2
  • +Ebr 9:8, 24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2023, uku. 28

    Upeo wa Ufunuo, uku. 161

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 161

Waebrania 10:20

Marejeo

  • +Mt 27:51
  • +Yoh 6:51; Ebr 6:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2023, uku. 28

    Ufahamu,

    Upeo wa Ufunuo, uku. 161

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2000, kur. 15-16

    7/1/1996, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 161; w00 1/15 15-16; w96 7/1 15-16

Waebrania 10:21

Marejeo

  • +Zek 6:13; Ebr 3:6

Waebrania 10:22

Marejeo

  • +Ebr 13:18; 1Yo 1:7
  • +Eze 36:25; Efe 5:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2000, kur. 19-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 8/15 19-20

Waebrania 10:23

Marejeo

  • +Ebr 3:6; 6:19
  • +1Ko 15:58; Kol 1:23
  • +1Th 5:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2000, kur. 20-21

    12/15/1999, uku. 23

    1/1/1988, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 8/15 20-21; w99 12/15 23

Waebrania 10:24

Marejeo

  • +Kut 25:2
  • +Kol 3:23; 1Ti 6:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 10

    Mapenzi ya Yehova, somo la 6

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2013, kur. 19-21

    3/15/2013, uku. 16

    2/1/2009, uku. 20

    3/15/2002, kur. 24-25

    8/15/2000, kur. 21-22

    12/15/1999, kur. 22-23

    3/15/1999, uku. 11

    3/1/1998, kur. 14-19

    4/1/1995, kur. 15-18, 20

    8/15/1993, kur. 8-9

    Ujuzi, uku. 163

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 2/1 20; od 59; w02 3/15 24-25; w00 8/15 21-22; w99 3/15 11; w99 12/15 22-23; w98 3/1 14-19

Waebrania 10:25

Marejeo

  • +Kum 31:12; Mt 18:20; Mdo 2:42; 20:8
  • +Isa 35:3; Ro 1:12
  • +Ro 13:11; 2Pe 3:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 10

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2018, kur. 20-24

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2016, uku. 7

    Amkeni!,

    7/2014, uku. 15

    10/22/1997, uku. 31

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2013, kur. 19, 21-22

    2/1/2009, uku. 20

    11/15/2002, kur. 4, 6-7

    3/15/2002, kur. 24-25

    3/1/2002, uku. 16

    8/15/2000, kur. 21-22

    3/15/2000, kur. 16-17

    12/15/1999, kur. 22-23

    11/15/1999, uku. 20

    3/1/1998, kur. 14-19

    4/1/1995, kur. 15-16, 18-20

    11/15/1993, kur. 21-22

    8/15/1993, kur. 8-9

    9/1/1991, uku. 22

    12/15/1990, kur. 15-18, 19-20

    Huduma ya Ufalme,

    5/1990, uku. 3

    Kutoa Sababu, kur. 63-65

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 2/1 20; od 60-61; rs 63-64; w02 3/1 16; w02 3/15 24-25; w02 11/15 4, 6-7; w00 3/15 16-17; w00 8/15 21-22; w99 11/15 20; w99 12/15 22-23; w98 3/1 14-19; g97 10/22 31

Waebrania 10:26

Marejeo

  • +Yak 4:17; 1Yo 5:16
  • +Ebr 6:4; 2Pe 2:21
  • +Mt 12:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/2011, uku. 24

    11/1/2008, uku. 10

    9/15/1992, kur. 9-10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 12/1 24; w08 11/1 10

Waebrania 10:27

Marejeo

  • +Lu 19:27
  • +Isa 26:11; Mk 3:29

Waebrania 10:28

Marejeo

  • +Kum 17:6

Waebrania 10:29

Marejeo

  • +1Pe 4:18
  • +Mt 7:6; Flp 3:18; Ebr 6:6
  • +Mt 26:28; Lu 22:20
  • +Efe 4:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1990, uku. 21

Waebrania 10:30

Marejeo

  • +Kum 32:35
  • +Kum 32:36

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2008, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 11/1 10

Waebrania 10:31

Marejeo

  • +Ebr 12:29; 2Pe 2:4

Waebrania 10:32

Marejeo

  • +Mdo 26:18; 2Ko 4:6; Ebr 6:4
  • +Flp 1:29; 2Ti 3:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1999, uku. 17

    1/1/1998, uku. 9

    12/1/1996, kur. 29-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 12/15 17; w98 1/1 9; w96 12/1 29-31

Waebrania 10:33

Marejeo

  • +1Ko 4:9
  • +Flp 1:7

Waebrania 10:34

Marejeo

  • +Mt 5:12
  • +Lu 16:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2007, kur. 30-31

    1/1/2006, kur. 22-23

    5/1/2001, kur. 13-14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 8/15 30; w06 1/1 22-23; w01 5/1 13-14

Waebrania 10:35

Marejeo

  • +Yoh 18:20; 1Ko 15:58
  • +Mt 10:32

Waebrania 10:36

Marejeo

  • +Lu 21:19; Yak 5:11
  • +Gal 6:9
  • +Gal 3:29; Kol 3:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2015, kur. 30-31

    4/1/1996, uku. 32

    11/1/1991, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 4/1 32

Waebrania 10:37

Marejeo

  • +Isa 26:20
  • +Hab 2:3; 2Pe 3:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2023, kur. 30-31

Waebrania 10:38

Marejeo

  • +Hab 2:4; Yoh 3:16; Ro 1:17
  • +Hab 2:4; 1Yo 2:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Siku ya Yehova, kur. 187-188

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2000, uku. 15

    12/15/1999, kur. 20-21

  • Fahirishi ya Machapisho

    jd 187-188; w00 2/1 15; w99 12/15 20-21

Waebrania 10:39

Marejeo

  • +2Pe 2:20
  • +1Th 5:9; 1Pe 1:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2006, kur. 17-18

    12/15/1999, kur. 14-24

    “Kila Andiko,” uku. 84

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 10/1 17-18; w99 12/15 14-24

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Ebr. 10:1Kol 2:17; Ebr 8:5
Ebr. 10:1Ebr 7:19; 9:9
Ebr. 10:2Gal 3:21
Ebr. 10:3Law 16:30, 34
Ebr. 10:4Isa 1:11; Mik 6:7
Ebr. 10:5Zb 50:8; Amo 5:22
Ebr. 10:5Zb 40:6
Ebr. 10:6Zb 40:6
Ebr. 10:7Zb 40:7
Ebr. 10:7Zb 40:8
Ebr. 10:8Zb 40:6
Ebr. 10:8Law 17:5
Ebr. 10:9Zb 40:8; Yoh 6:38
Ebr. 10:9Kol 2:14; Ebr 8:13
Ebr. 10:10Zb 40:8; Gal 1:4
Ebr. 10:10Yoh 17:19; 1Ko 6:11; Ebr 13:12
Ebr. 10:10Efe 5:2
Ebr. 10:10Ro 6:10; Ebr 9:28
Ebr. 10:111Sa 2:28; 1Nya 24:19; 2Nya 29:11
Ebr. 10:11Kut 29:38; Hes 28:3
Ebr. 10:11Ebr 7:18, 27; 10:1
Ebr. 10:12Ebr 9:28
Ebr. 10:12Ro 8:34; Kol 3:1
Ebr. 10:13Zb 110:1; Mdo 2:35; 1Ko 15:25
Ebr. 10:14Ebr 9:28
Ebr. 10:14Ebr 7:11, 19
Ebr. 10:15Yer 1:4
Ebr. 10:16Yer 31:33; Ebr 8:10
Ebr. 10:17Yer 31:34; Ebr 8:12
Ebr. 10:18Yoh 8:36
Ebr. 10:18Yoh 20:23
Ebr. 10:19Yoh 14:6; Ro 5:2
Ebr. 10:19Ebr 9:8, 24
Ebr. 10:20Mt 27:51
Ebr. 10:20Yoh 6:51; Ebr 6:20
Ebr. 10:21Zek 6:13; Ebr 3:6
Ebr. 10:22Ebr 13:18; 1Yo 1:7
Ebr. 10:22Eze 36:25; Efe 5:26
Ebr. 10:23Ebr 3:6; 6:19
Ebr. 10:231Ko 15:58; Kol 1:23
Ebr. 10:231Th 5:24
Ebr. 10:24Kut 25:2
Ebr. 10:24Kol 3:23; 1Ti 6:18
Ebr. 10:25Kum 31:12; Mt 18:20; Mdo 2:42; 20:8
Ebr. 10:25Isa 35:3; Ro 1:12
Ebr. 10:25Ro 13:11; 2Pe 3:12
Ebr. 10:26Yak 4:17; 1Yo 5:16
Ebr. 10:26Ebr 6:4; 2Pe 2:21
Ebr. 10:26Mt 12:32
Ebr. 10:27Lu 19:27
Ebr. 10:27Isa 26:11; Mk 3:29
Ebr. 10:28Kum 17:6
Ebr. 10:291Pe 4:18
Ebr. 10:29Mt 7:6; Flp 3:18; Ebr 6:6
Ebr. 10:29Mt 26:28; Lu 22:20
Ebr. 10:29Efe 4:30
Ebr. 10:30Kum 32:35
Ebr. 10:30Kum 32:36
Ebr. 10:31Ebr 12:29; 2Pe 2:4
Ebr. 10:32Mdo 26:18; 2Ko 4:6; Ebr 6:4
Ebr. 10:32Flp 1:29; 2Ti 3:12
Ebr. 10:331Ko 4:9
Ebr. 10:33Flp 1:7
Ebr. 10:34Mt 5:12
Ebr. 10:34Lu 16:9
Ebr. 10:35Yoh 18:20; 1Ko 15:58
Ebr. 10:35Mt 10:32
Ebr. 10:36Lu 21:19; Yak 5:11
Ebr. 10:36Gal 6:9
Ebr. 10:36Gal 3:29; Kol 3:24
Ebr. 10:37Isa 26:20
Ebr. 10:37Hab 2:3; 2Pe 3:9
Ebr. 10:38Hab 2:4; Yoh 3:16; Ro 1:17
Ebr. 10:38Hab 2:4; 1Yo 2:19
Ebr. 10:392Pe 2:20
Ebr. 10:391Th 5:9; 1Pe 1:9
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Waebrania 10:1-39

Waebrania

10 Kwa kuwa Sheria ina kivuli+ cha mambo mema yatakayokuja, lakini si umbo halisi la mambo hayo, watu hawawezi kamwe kuwafanya wale wanaokaribia kuwa wakamilifu+ kwa dhabihu zilezile mwaka baada ya mwaka ambazo wao huendelea kuzitoa. 2 Kama sivyo, je, dhabihu hazingekoma kutolewa, kwa sababu wale wanaotoa utumishi mtakatifu ambao walikuwa wamesafishwa mara moja kwa wakati wote hawangekuwa na ufahamu wa dhambi tena?+ 3 Kinyume cha hilo, kwa dhabihu hizo kuna kukumbusha juu ya dhambi mwaka baada ya mwaka,+ 4 kwa maana haiwezekani damu ya ng’ombe na ya mbuzi kuondolea mbali dhambi.+

5 Kwa hiyo wakati yeye anapokuja katika ulimwengu anasema: “ ‘Dhabihu na toleo wewe hukutaka,+ bali ulinitayarishia mwili.+ 6 Hukukubali matoleo mazima ya kuteketezwa na toleo la dhambi.’+ 7 Ndipo nikasema, ‘Tazama! Nimekuja (katika kitabu cha kukunjwa imeandikwa juu yangu)+ ili kufanya mapenzi yako, Ee Mungu.’ ”+ 8 Baada ya kwanza kusema: “Hukutaka wala hukukubali dhabihu na matoleo na matoleo mazima ya kuteketezwa na toleo la dhambi”+—dhabihu zinazotolewa kulingana na Sheria+— 9 ndipo anasema: “Tazama! nimekuja kufanya mapenzi yako.”+ Anaondolea mbali lile la kwanza ili asimamishe lile la pili.+ 10 Kwa hayo “mapenzi”+ yaliyosemwa sisi tumetakaswa+ kupitia toleo+ la mwili wa Yesu Kristo+ mara moja kwa wakati wote.

11 Pia, kila kuhani husimama mahali pake+ siku baada ya siku+ ili kutoa utumishi wa watu wote na kutoa dhabihu zilezile mara nyingi, kwa kuwa hizo haziwezi kamwe kuondoa kabisa dhambi.+ 12 Lakini mtu huyu alitoa dhabihu moja kwa ajili ya dhambi daima+ na kuketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+ 13 tangu wakati huo na kuendelea akingojea mpaka adui zake wawekwe kuwa kiti cha miguu yake.+ 14 Kwa maana ni kwa toleo moja la dhabihu+ kwamba yeye amewafanya wale wanaotakaswa wawe wakamilifu+ daima. 15 Zaidi ya hayo, roho takatifu+ pia inatutolea ushahidi, kwa maana baada ya kusema: 16 “ ‘Hili ndilo agano nitakalofanya kwao baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika mioyo yao, nami nitaziandika katika akili zao,’ ”+ 17 inasema baadaye: “Nami sitazikumbuka tena dhambi zao hata kidogo na matendo yao ya kuasi sheria.”+ 18 Sasa mahali palipo na msamaha+ wa mambo hayo, hapana tena toleo kwa ajili ya dhambi.+

19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa njia ya kuingia+ katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu, 20 aliyotuzindulia kuwa njia mpya na yenye uzima kupitia lile pazia,+ yaani, mwili wake,+ 21 na kwa kuwa tuna kuhani mkuu juu ya nyumba ya Mungu,+ 22 acheni tukaribie tukiwa na mioyo ya kweli katika uhakikisho kamili wa imani, mioyo yetu ikiisha kunyunyizwa kutokana na dhamiri+ ya uovu na miili yetu kuoshwa kwa maji safi.+ 23 Acheni tushike imara tangazo la hadharani la tumaini+ letu bila kuyumba-yumba,+ kwa maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu.+ 24 Na acheni tufikiriane ili kuchocheana+ katika upendo na matendo mazuri,+ 25 bila kuacha kukusanyika pamoja sisi wenyewe,+ kama vile wengine walivyo na desturi, bali tutiane moyo,+ na kufanya hivyo zaidi kwa kadiri mnavyoona siku ile kuwa inakaribia.+

26 Kwa maana tukizoea kutenda dhambi kimakusudi+ baada ya kupokea ujuzi sahihi juu ya kweli,+ hakuna tena dhabihu yoyote iliyobaki kwa ajili ya dhambi,+ 27 lakini kuna tarajio hakika lenye kuogopesha la hukumu+ na kuna wivu unaowaka moto ambao utawateketeza wale wanaopinga.+ 28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+ 29 Je, mnafikiri atahesabiwa kuwa anastahili adhabu kali zaidi namna gani,+ mtu ambaye amemkanyagia chini+ Mwana wa Mungu na ambaye ameiona kuwa yenye thamani ya kawaida tu damu+ ya agano ambayo kupitia hiyo alitakaswa, na ambaye ameitendea kwa dharau ile roho+ ya fadhili zisizostahiliwa? 30 Kwa maana tunamjua yeye aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa”;+ na tena: “Yehova atawahukumu watu wake.”+ 31 Ni jambo lenye kuogopesha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.+

32 Hata hivyo, endeleeni kuzikumbuka zile siku za zamani ambazo, baada ya kutiwa nuru,+ mlivumilia shindano kubwa chini ya mateso,+ 33 nyakati fulani mkifunuliwa wazi kama katika jumba la maonyesho+ kwenye shutuma na dhiki pia, na nyakati fulani mlipokuwa washiriki pamoja na wale waliokuwa wakipatwa na jambo la namna hiyo.+ 34 Kwa maana mliwasikitikia wale waliokuwa gerezani na pia kwa shangwe mkavumilia kuporwa+ mali zenu, mkijua ninyi wenyewe mna miliki bora na yenye kudumu.+

35 Kwa hiyo, msiutupilie mbali uhuru wenu wa kusema,+ ulio na thawabu+ kubwa ya kulipwa. 36 Kwa maana mnahitaji kuwa na uvumilivu,+ ili kwamba, baada ya kufanya mapenzi ya Mungu,+ mpokee utimizo wa ile ahadi.+ 37 Kwa maana bado “muda kidogo sana,”+ na “yeye anayekuja atafika naye hatakawia.”+ 38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kwa sababu ya imani,”+ na, “akirudi nyuma kwa kutetemeka, nafsi yangu haipendezwi naye.”+ 39 Sasa sisi si namna ya watu wanaorudi nyuma kwenye maangamizi,+ bali sisi ni namna ya watu walio na imani ya kuihifadhi hai nafsi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki