Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 12:1

Marejeo

  • +1Fa 19:16; 2Fa 10:30
  • +2Fa 11:2; 1Nya 3:11; 2Nya 24:1

2 Wafalme 12:2

Marejeo

  • +2Fa 14:3; 2Nya 24:2

2 Wafalme 12:3

Marejeo

  • +Hes 33:52; Yer 2:20

2 Wafalme 12:4

Marejeo

  • +Kut 28:1; 2Nya 35:2
  • +1Nya 18:11; 2Nya 31:12
  • +1Fa 7:51
  • +Kut 30:13; 2Nya 24:9
  • +Law 27:2, 12
  • +Kut 25:2; 35:21; Ne 10:39; 2Ko 9:11

2 Wafalme 12:5

Marejeo

  • +Hes 18:8, 28
  • +2Nya 24:7

2 Wafalme 12:6

Marejeo

  • +2Nya 24:5; Ro 12:11; Kol 3:23

2 Wafalme 12:7

Marejeo

  • +2Fa 11:4; 2Nya 23:1; 24:15
  • +2Nya 24:6

2 Wafalme 12:9

Marejeo

  • +2Nya 24:8; Mk 12:41; Lu 21:1
  • +2Fa 11:6; Zb 84:10
  • +2Nya 24:10; Mt 6:4; 2Ko 9:7

2 Wafalme 12:10

Marejeo

  • +2Sa 20:25; 2Fa 18:18
  • +2Nya 24:11

2 Wafalme 12:11

Marejeo

  • +2Fa 22:5; 2Nya 24:12; 34:10

2 Wafalme 12:12

Marejeo

  • +1Fa 5:17; Ezr 5:8

2 Wafalme 12:13

Marejeo

  • +1Fa 7:50
  • +2Nya 4:22
  • +Hes 10:2; 2Nya 5:12
  • +2Nya 24:14

2 Wafalme 12:14

Marejeo

  • +2Nya 24:13

2 Wafalme 12:15

Marejeo

  • +2Fa 22:7
  • +2Nya 34:12
  • +1Ko 4:2

2 Wafalme 12:16

Marejeo

  • +Law 5:15; 7:7
  • +Hes 18:8

2 Wafalme 12:17

Marejeo

  • +1Fa 19:15; 2Fa 8:13; 10:32; Amo 1:4
  • +1Nya 18:1
  • +Yer 42:15; Lu 9:51
  • +2Nya 24:23

2 Wafalme 12:18

Marejeo

  • +1Fa 15:18
  • +2Fa 16:8; 18:15

2 Wafalme 12:19

Marejeo

  • +1Fa 14:29; 2Fa 8:23

2 Wafalme 12:20

Marejeo

  • +2Fa 14:5
  • +2Nya 24:25; 25:27
  • +1Fa 9:15
  • +2Sa 5:9; 1Fa 9:24; 11:27; 2Nya 32:5

2 Wafalme 12:21

Marejeo

  • +2Nya 24:26
  • +2Nya 24:27

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 12:11Fa 19:16; 2Fa 10:30
2 Fal. 12:12Fa 11:2; 1Nya 3:11; 2Nya 24:1
2 Fal. 12:22Fa 14:3; 2Nya 24:2
2 Fal. 12:3Hes 33:52; Yer 2:20
2 Fal. 12:4Kut 28:1; 2Nya 35:2
2 Fal. 12:41Nya 18:11; 2Nya 31:12
2 Fal. 12:41Fa 7:51
2 Fal. 12:4Kut 30:13; 2Nya 24:9
2 Fal. 12:4Law 27:2, 12
2 Fal. 12:4Kut 25:2; 35:21; Ne 10:39; 2Ko 9:11
2 Fal. 12:5Hes 18:8, 28
2 Fal. 12:52Nya 24:7
2 Fal. 12:62Nya 24:5; Ro 12:11; Kol 3:23
2 Fal. 12:72Fa 11:4; 2Nya 23:1; 24:15
2 Fal. 12:72Nya 24:6
2 Fal. 12:92Nya 24:8; Mk 12:41; Lu 21:1
2 Fal. 12:92Fa 11:6; Zb 84:10
2 Fal. 12:92Nya 24:10; Mt 6:4; 2Ko 9:7
2 Fal. 12:102Sa 20:25; 2Fa 18:18
2 Fal. 12:102Nya 24:11
2 Fal. 12:112Fa 22:5; 2Nya 24:12; 34:10
2 Fal. 12:121Fa 5:17; Ezr 5:8
2 Fal. 12:131Fa 7:50
2 Fal. 12:132Nya 4:22
2 Fal. 12:13Hes 10:2; 2Nya 5:12
2 Fal. 12:132Nya 24:14
2 Fal. 12:142Nya 24:13
2 Fal. 12:152Fa 22:7
2 Fal. 12:152Nya 34:12
2 Fal. 12:151Ko 4:2
2 Fal. 12:16Law 5:15; 7:7
2 Fal. 12:16Hes 18:8
2 Fal. 12:171Fa 19:15; 2Fa 8:13; 10:32; Amo 1:4
2 Fal. 12:171Nya 18:1
2 Fal. 12:17Yer 42:15; Lu 9:51
2 Fal. 12:172Nya 24:23
2 Fal. 12:181Fa 15:18
2 Fal. 12:182Fa 16:8; 18:15
2 Fal. 12:191Fa 14:29; 2Fa 8:23
2 Fal. 12:202Fa 14:5
2 Fal. 12:202Nya 24:25; 25:27
2 Fal. 12:201Fa 9:15
2 Fal. 12:202Sa 5:9; 1Fa 9:24; 11:27; 2Nya 32:5
2 Fal. 12:212Nya 24:26
2 Fal. 12:212Nya 24:27
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 12:1-21

2 Wafalme

12 Katika mwaka wa 7 wa Yehu,+ Yehoashi+ akawa mfalme, naye akatawala miaka 40 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Sibia kutoka Beer-sheba. 2 Na Yehoashi akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova siku zake zote ambazo Yehoyada kuhani alimfundisha.+ 3 Ni mahali pa juu peke yake ndipo hapakuondolewa.+ Watu walikuwa wangali wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.

4 Na Yehoashi akawaambia makuhani:+ “Pesa zote kwa ajili ya matoleo+ matakatifu zinazoletwa katika nyumba ya Yehova,+ pesa ambazo kila mtu hukadiriwa,+ pesa kwa ajili ya nafsi kulingana na kadirio la thamani+ ya mtu mmoja-mmoja, pesa zote ambazo kila mmoja anaazimia moyoni kuleta nyumbani kwa Yehova,+ 5 makuhani na wazichukue, kila mmoja kutoka kwa mtu wanayefahamiana naye;+ nao warekebishe mipasuko ya nyumba popote panapopatikana mpasuko wowote.”+

6 Na ikawa kwamba kufikia mwaka wa 23 wa Mfalme Yehoashi, makuhani hawakuwa wamerekebisha mipasuko ya nyumba.+ 7 Kwa hiyo Mfalme Yehoashi akamwita Yehoyada+ kuhani na makuhani, akawaambia: “Kwa nini hamrekebishi mipasuko ya nyumba? Basi sasa, msichukue pesa zaidi kutoka kwa watu mnaofahamiana nao, bali mzitoe kwa ajili ya mipasuko ya nyumba.”+ 8 Ndipo makuhani wakakubali wasichukue pesa zaidi kutoka kwa watu na kutorekebisha mipasuko ya nyumba.

9 Basi Yehoyada kuhani akachukua sanduku,+ akatoboa tundu katika kifuniko chake, akaliweka kando ya madhabahu upande wa kuume mtu anapoingia ndani ya nyumba ya Yehova, na makuhani, watunza-malango,+ wakaweka humo pesa+ zote zilizokuwa zikiletwa katika nyumba ya Yehova. 10 Na ikawa kwamba mara tu walipoona kuna pesa nyingi sana katika lile sanduku, mwandishi+ wa mfalme na kuhani mkuu wakawa wakija, nao wakazifunga na kuhesabu pesa zilizokuwa zikipatikana kwenye nyumba ya Yehova.+ 11 Na zile pesa ambazo zilikuwa zimehesabiwa, wakaziweka mikononi mwa wafanyakazi+ waliowekwa kwenye nyumba ya Yehova. Wao nao wakazilipa kwa wafanyakazi wa mbao na kwa wajenzi waliokuwa wakifanya kazi katika nyumba ya Yehova, 12 na kwa waashi na kwa wachongaji wa mawe,+ na kwa ajili ya kununua mbao na mawe yaliyochongwa kwa ajili ya kurekebisha mipasuko ya nyumba ya Yehova na kwa ajili ya vyote vilivyotumiwa kwenye nyumba ili kuirekebisha.

13 Ila tu kuhusiana na nyumba ya Yehova hawakutengeneza beseni za fedha, mikasi ya taa,+ mabakuli,+ tarumbeta,+ chombo chochote cha dhahabu na chombo cha fedha kutokana na zile pesa zilizokuwa zikiletwa katika nyumba ya Yehova;+ 14 kwa maana walikuwa wakiwapa wale wafanyakazi, nao walizitumia kurekebisha nyumba ya Yehova.+ 15 Nao hawakuwa wakitoza hesabu+ wale watu ambao mkononi mwao pesa zilitiwa ili kuwapa wale wafanyakazi,+ kwa sababu walikuwa wakifanya kazi kwa uaminifu.+ 16 Na pesa za matoleo ya hatia+ na pesa za matoleo ya dhambi, hazikuwa zikiletwa katika nyumba ya Yehova. Kwa hiyo zikawa za makuhani.+

17 Ndipo ikawa kwamba Hazaeli+ mfalme wa Siria akapanda kwenda kupigana na Gathi,+ akaliteka, kisha Hazaeli akaelekeza uso+ wake apande kwenda juu ya Yerusalemu.+ 18 Kwa hiyo Yehoashi mfalme wa Yuda akachukua matoleo yote matakatifu+ ambayo Yehoshafati na Yehoramu na Ahazia mababu zake, wafalme wa Yuda, walikuwa wameyatakasa na matoleo yake mwenyewe matakatifu na dhahabu yote iliyoonekana katika hazina za nyumba ya Yehova na nyumba ya mfalme, akavipeleka+ kwa Hazaeli mfalme wa Siria. Basi akaondoka juu ya Yerusalemu.

19 Na mambo mengine ya Yehoashi na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? 20 Hata hivyo, watumishi+ wake wakasimama na kuungana katika hila,+ wakampiga na kumuua Yehoashi katika nyumba+ ya Kilima,+ katika njia inayoshuka kwenda Sila. 21 Na Yozakari mwana wa Shimeathi na Yehozabadi+ mwana wa Shomeri, watumishi wake, ndio waliompiga, hata akafa. Basi wakamzika pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi; na Amazia+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki