Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wafalme 19:1

Marejeo

  • +1Fa 16:29; 21:25
  • +1Fa 16:31
  • +1Fa 18:40

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 101

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 18

1 Wafalme 19:2

Marejeo

  • +1Fa 20:10
  • +Mdo 23:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 101

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 19

1 Wafalme 19:3

Marejeo

  • +Kut 2:15; 1Sa 27:1; Met 16:14; 22:3; Mt 10:23
  • +Mwa 21:31
  • +Yos 15:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 101-102

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, kur. 19-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 19

1 Wafalme 19:4

Marejeo

  • +Yon 4:6
  • +Hes 11:15; Ayu 3:21; Yon 4:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 158

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2019, kur. 15-16

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2014, uku. 15

    7/1/2011, kur. 19-20

    5/15/1997, uku. 13

    Igeni, kur. 102-103

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 19-20; w97 5/15 13

1 Wafalme 19:5

Marejeo

  • +Ayu 30:4
  • +Zb 34:7
  • +Da 10:10; Mdo 12:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 103

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 20

1 Wafalme 19:6

Marejeo

  • +1Fa 17:12; Isa 33:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 103

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 20

1 Wafalme 19:7

Marejeo

  • +Ebr 1:14
  • +Zb 103:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 103

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 20

1 Wafalme 19:8

Marejeo

  • +Kut 24:18; Kum 9:9; Lu 4:2
  • +Kut 3:1; 19:18; Mal 4:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 103-104

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, kur. 20-21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 20-21

1 Wafalme 19:9

Marejeo

  • +Kut 33:22; Ebr 11:38
  • +Mwa 16:8; Zb 139:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 104

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 21

1 Wafalme 19:10

Marejeo

  • +Kut 20:5; Hes 25:11; 2Fa 10:16; Zb 69:9; 119:139; 2Ko 11:2
  • +Kum 29:25; Amu 2:20; 1Fa 8:9; 2Fa 17:15; Ebr 8:9
  • +Ro 11:3
  • +1Fa 18:4
  • +1Fa 18:22; Met 24:10; Ro 11:3
  • +1Fa 19:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 104

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 21

1 Wafalme 19:11

Marejeo

  • +Kut 34:2
  • +Kut 33:22; Hab 3:3
  • +Ayu 38:1; Zb 50:3; Isa 29:6
  • +1Sa 14:15; Ayu 9:6; Zb 68:8; Nah 1:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, kur. 37-38, 42-43

    Igeni, kur. 104-106

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, kur. 21-22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 21-22; cl 37, 43

1 Wafalme 19:12

Marejeo

  • +Kum 4:11
  • +Kut 34:6; Kum 4:33

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, kur. 37-38, 42-43

    Igeni, kur. 104-107

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, kur. 21-22

    5/15/1997, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 22; cl 37, 43; w97 5/15 13

1 Wafalme 19:13

Marejeo

  • +Kut 3:6
  • +1Fa 19:9

1 Wafalme 19:14

Marejeo

  • +Kum 31:20; Zb 78:37; Isa 1:4; Yer 22:9; Ro 11:3
  • +1Fa 19:10

1 Wafalme 19:15

Marejeo

  • +2Fa 8:7
  • +1Sa 2:7
  • +2Fa 8:8, 12; Amo 1:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 106-107

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 22

    5/15/1997, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 22; w97 5/15 13

1 Wafalme 19:16

Marejeo

  • +2Fa 9:2, 30
  • +2Fa 9:14
  • +2Fa 2:9; Lu 4:27
  • +Amu 7:22; 1Fa 4:12
  • +2Fa 2:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/1997, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 5/15 13

1 Wafalme 19:17

Marejeo

  • +2Fa 8:12; 9:14; 10:32; 13:3
  • +2Fa 9:24; 10:6, 25
  • +2Fa 2:24

1 Wafalme 19:18

Marejeo

  • +Isa 1:9; Ro 11:4, 5; 2Ti 2:19
  • +Kut 20:5
  • +Ho. 13:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 107

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2011, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/1 22

1 Wafalme 19:19

Marejeo

  • +Kut 3:1; Amu 6:11; 2Sa 7:8
  • +2Fa 2:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 649

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2014, uku. 12

    11/1/1997, kur. 30-31

    9/1/1990, uku. 16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 11/1 30-31

1 Wafalme 19:20

Marejeo

  • +Mwa 31:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1997, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 11/1 30-31

1 Wafalme 19:21

Marejeo

  • +Law 19:5
  • +2Sa 24:22
  • +Kut 24:13; 2Fa 2:3; 3:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1997, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 11/1 30-31

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Fal. 19:11Fa 16:29; 21:25
1 Fal. 19:11Fa 16:31
1 Fal. 19:11Fa 18:40
1 Fal. 19:21Fa 20:10
1 Fal. 19:2Mdo 23:13
1 Fal. 19:3Kut 2:15; 1Sa 27:1; Met 16:14; 22:3; Mt 10:23
1 Fal. 19:3Mwa 21:31
1 Fal. 19:3Yos 15:28
1 Fal. 19:4Yon 4:6
1 Fal. 19:4Hes 11:15; Ayu 3:21; Yon 4:3
1 Fal. 19:5Ayu 30:4
1 Fal. 19:5Zb 34:7
1 Fal. 19:5Da 10:10; Mdo 12:7
1 Fal. 19:61Fa 17:12; Isa 33:16
1 Fal. 19:7Ebr 1:14
1 Fal. 19:7Zb 103:13
1 Fal. 19:8Kut 24:18; Kum 9:9; Lu 4:2
1 Fal. 19:8Kut 3:1; 19:18; Mal 4:4
1 Fal. 19:9Kut 33:22; Ebr 11:38
1 Fal. 19:9Mwa 16:8; Zb 139:7
1 Fal. 19:10Kut 20:5; Hes 25:11; 2Fa 10:16; Zb 69:9; 119:139; 2Ko 11:2
1 Fal. 19:10Kum 29:25; Amu 2:20; 1Fa 8:9; 2Fa 17:15; Ebr 8:9
1 Fal. 19:10Ro 11:3
1 Fal. 19:101Fa 18:4
1 Fal. 19:101Fa 18:22; Met 24:10; Ro 11:3
1 Fal. 19:101Fa 19:2
1 Fal. 19:11Kut 34:2
1 Fal. 19:11Kut 33:22; Hab 3:3
1 Fal. 19:11Ayu 38:1; Zb 50:3; Isa 29:6
1 Fal. 19:111Sa 14:15; Ayu 9:6; Zb 68:8; Nah 1:5
1 Fal. 19:12Kum 4:11
1 Fal. 19:12Kut 34:6; Kum 4:33
1 Fal. 19:13Kut 3:6
1 Fal. 19:131Fa 19:9
1 Fal. 19:14Kum 31:20; Zb 78:37; Isa 1:4; Yer 22:9; Ro 11:3
1 Fal. 19:141Fa 19:10
1 Fal. 19:152Fa 8:7
1 Fal. 19:151Sa 2:7
1 Fal. 19:152Fa 8:8, 12; Amo 1:4
1 Fal. 19:162Fa 9:2, 30
1 Fal. 19:162Fa 9:14
1 Fal. 19:162Fa 2:9; Lu 4:27
1 Fal. 19:16Amu 7:22; 1Fa 4:12
1 Fal. 19:162Fa 2:15
1 Fal. 19:172Fa 8:12; 9:14; 10:32; 13:3
1 Fal. 19:172Fa 9:24; 10:6, 25
1 Fal. 19:172Fa 2:24
1 Fal. 19:18Isa 1:9; Ro 11:4, 5; 2Ti 2:19
1 Fal. 19:18Kut 20:5
1 Fal. 19:18Ho. 13:2
1 Fal. 19:19Kut 3:1; Amu 6:11; 2Sa 7:8
1 Fal. 19:192Fa 2:8
1 Fal. 19:20Mwa 31:28
1 Fal. 19:21Law 19:5
1 Fal. 19:212Sa 24:22
1 Fal. 19:21Kut 24:13; 2Fa 2:3; 3:11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wafalme 19:1-21

1 Wafalme

19 Kisha Ahabu+ akamwambia Yezebeli+ mambo yote ambayo Eliya alikuwa amefanya na mambo yote kuhusu namna alivyowaua manabii wote kwa upanga.+ 2 Ndipo Yezebeli akatuma mjumbe kwa Eliya, akisema: “Miungu na ifanye hivyo,+ nayo izidishe jambo hilo,+ ikiwa wakati kama huu hapo kesho sitaifanya nafsi yako iwe kama nafsi ya kila mmoja wao!” 3 Naye akaogopa. Basi akaondoka, akaanza kwenda kwa ajili ya nafsi yake,+ akafika Beer-sheba,+ jiji la Yuda.+ Kisha akamwacha mtumishi wake huko. 4 Naye mwenyewe akaingia nyikani safari ya siku moja, mwishowe akafika na kuketi chini ya mretemu fulani.+ Naye akaanza kuomba kwamba nafsi yake ife na kusema: “Inatosha! Sasa, Ee Yehova, iondoe nafsi yangu,+ kwa maana mimi si bora kuliko mababu zangu.”

5 Mwishowe akalala chini, akashikwa na usingizi chini ya ule mretemu.+ Lakini, tazama! Malaika+ akamgusa.+ Ndipo akamwambia: “Amka, ule.” 6 Alipoangalia, na tazama, pale karibu na kichwa chake palikuwa na keki ya mviringo+ juu ya mawe yenye moto na gudulia la maji. Naye akaanza kula na kunywa, kisha akalala chini tena. 7 Baadaye yule malaika+ wa Yehova akarudi mara ya pili, akamgusa na kusema: “Amka, ule, kwa maana safari ni ndefu mno kwako.”+ 8 Basi akaamka, akala na kunywa, naye akazidi kwenda katika nguvu za chakula kile kwa siku 40,+ mchana na usiku, mpaka Horebu, mlima wa Mungu wa kweli.+

9 Mwishowe hapo akaingia pangoni,+ ili alale humo usiku; na tazama! palikuwa na neno la Yehova kwa ajili yake, nalo likamwambia: “Una kazi gani hapa, Eliya?”+ 10 Naye akasema: “Nimekuwa na wivu+ kwelikweli kwa ajili ya Yehova Mungu wa majeshi; kwa maana wana wa Israeli wameliacha agano lako,+ wamezibomoa+ madhabahu zako, nao wamewaua manabii wako kwa upanga,+ hivi kwamba ni mimi peke yangu nimebaki;+ nao wanaanza kuitafuta nafsi yangu ili kuiondoa.”+ 11 Lakini likasema: “Toka, usimame juu ya mlima mbele za Yehova.”+ Na tazama! Yehova alikuwa anapita karibu,+ na upepo mkubwa na wenye nguvu ukawa unapasua milima na kuvunja miamba mbele za Yehova.+ (Yehova hakuwa katika upepo ule.) Na baada ya upepo ule kukawa na tetemeko.+ (Yehova hakuwa katika lile tetemeko.) 12 Na baada ya lile tetemeko kukawa na moto.+ (Yehova hakuwa katika moto ule.) Na baada ya moto ule kukawa na sauti tulivu, ya chini.+ 13 Na ikawa kwamba mara tu Eliya alipoisikia, akafunika uso wake mara moja katika vazi lake rasmi,+ akatoka nje, akasimama mlangoni pa lile pango; na tazama! palikuwa na sauti kwa ajili yake, nayo ikamwambia: “Una kazi gani hapa, Eliya?”+ 14 Naye akasema: “Nimekuwa na wivu kwelikweli kwa ajili ya Yehova Mungu wa majeshi; kwa maana wana wa Israeli wameliacha agano lako,+ wamezibomoa madhabahu zako, nao wamewaua manabii wako kwa upanga, hivi kwamba ni mimi peke yangu nimebaki; nao wanaanza kuitafuta nafsi yangu ili kuiondoa.”+

15 Sasa Yehova akamwambia: “Nenda, rudi katika nyika ya Damasko;+ nawe uingie na kumtia mafuta+ Hazaeli+ kuwa mfalme juu ya Siria. 16 Na Yehu+ mjukuu wa Nimshi+ umtie mafuta kuwa mfalme juu ya Israeli; na Elisha+ mwana wa Shafati kutoka Abel-mehola+ umtie mafuta kuwa nabii mahali pako.+ 17 Na itatukia kwamba yule atakayepona upanga+ wa Hazaeli, Yehu atamuua;+ na yule atakayepona upanga wa Yehu, Elisha atamuua.+ 18 Nami nimewaacha watu elfu saba wabaki katika Israeli,+ magoti yote ambayo hayakumwinamia Baali,+ na kila kinywa ambacho hakikumbusu.”+

19 Basi akaondoka hapo, akamkuta Elisha mwana wa Shafati akilima+ na jozi kumi na mbili za wanyama mbele yake, naye akiwa na ile ya kumi na mbili. Basi Eliya akavuka mpaka pale alipokuwa, akalitupa vazi lake rasmi+ juu yake. 20 Ndipo akawaacha wale ng’ombe, akakimbia kumfuata Eliya na kusema: “Tafadhali, acha nimbusu baba yangu na mama yangu.+ Kisha nitakufuata.” Naye akamwambia: “Nenda, rudi; kwa maana mimi nimekufanyia nini?” 21 Kwa hiyo akarudi, akaacha kumfuata na kisha akachukua jozi moja ya wale ng’ombe na kuwatoa dhabihu,+ na kwa kutumia vifaa+ vya wale ng’ombe, akatokosa nyama yao, akawapa watu, nao wakaanza kula. Kisha akaondoka, akaanza kumfuata Eliya, naye akaanza kumhudumia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki