Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi—Yaliyomo

      • Sheria mbalimbali kuhusu utakatifu (1-37)

        • Njia inayofaa ya kuvuna (9, 10)

        • Kuwajali viziwi na vipofu (14)

        • Uchongezi (16)

        • Usiwe na kinyongo (18)

        • Wakatazwa kufanya uchawi na kuwasiliana na roho waovu (26 , 31)

        • Wakatazwa kuchanja chale (28)

        • Kuwaheshimu waliozeeka (32)

        • Jinsi wageni wanavyopaswa kutendewa (33, 34)

Mambo ya Walawi 19:2

Marejeo

  • +Law 11:44; Isa 6:3; 1Pe 1:15, 16; Ufu 4:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 3-4

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 9

    8/1/1996, uku. 10

    11/1/1987, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 9; w96 8/1 10

Mambo ya Walawi 19:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kumwogopa.”

Marejeo

  • +Kut 20:12; Efe 6:2; Ebr 12:9
  • +Kut 20:8, 11; 31:13; Lu 6:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 4-5, 8

Mambo ya Walawi 19:4

Marejeo

  • +Law 26:1; Zb 96:5; Hab 2:18; 1Ko 10:14
  • +Kut 20:4, 23; Kum 27:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 5-6

Mambo ya Walawi 19:5

Marejeo

  • +Law 3:1
  • +Law 7:11, 12

Mambo ya Walawi 19:6

Marejeo

  • +Law 7:17, 18

Mambo ya Walawi 19:9

Marejeo

  • +Law 23:22; Kum 24:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2006, kur. 22-23

    12/1/2003, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 6/15 22-23; w03 12/1 17

Mambo ya Walawi 19:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanaoteseka.”

Marejeo

  • +Kum 15:7

Mambo ya Walawi 19:11

Marejeo

  • +Kut 20:15; Efe 4:28
  • +Law 6:2; Met 12:22; Efe 4:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 10

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2016, kur. 11-12

Mambo ya Walawi 19:12

Marejeo

  • +Kut 20:7; Mt 5:33, 37; Yak 5:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 10

Mambo ya Walawi 19:13

Marejeo

  • +Met 22:16; Mk 10:19
  • +Met 22:22
  • +Kum 24:15; Yer 22:13; Yak 5:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 10

Mambo ya Walawi 19:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Usimlaani.”

Marejeo

  • +Kum 27:18
  • +Law 25:17; Ne 5:15; Met 1:7; 8:13; 1Pe 2:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 8-9

Mambo ya Walawi 19:15

Marejeo

  • +Kut 23:3; Kum 1:16, 17; 16:19; 2Nya 19:6; Ro 2:11; Yak 2:9

Mambo ya Walawi 19:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “damu ya.”

Marejeo

  • +Zb 15:1, 3
  • +Kut 20:16; 1Fa 21:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 14

    Ufahamu, uku. 344

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/1992, uku. 20

    9/15/1989, uku. 27

Mambo ya Walawi 19:17

Marejeo

  • +Met 10:18; 1Yo 2:9; 3:15
  • +Zb 141:5; Met 9:8; Mt 18:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 780-781

Mambo ya Walawi 19:18

Marejeo

  • +Met 20:22; Ro 12:19
  • +Mt 5:43, 44; 22:39; Ro 13:9; Gal 5:14; Yak 2:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 134, 195

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 10-12

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2011, uku. 22

    12/1/2006, kur. 26-27

    “Kila Andiko,” uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 4/15 22; w06 12/1 26-27

Mambo ya Walawi 19:19

Marejeo

  • +Kum 22:9
  • +Kum 22:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 6

Mambo ya Walawi 19:21

Marejeo

  • +Law 6:6, 7

Mambo ya Walawi 19:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuwa kama magovi yake.”

  • *

    Tnn., “Kwa miaka mitatu hayajatahiriwa.”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 6-7

Mambo ya Walawi 19:24

Marejeo

  • +Kum 26:1, 2; Met 3:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 6-7

Mambo ya Walawi 19:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 6-7

Mambo ya Walawi 19:26

Marejeo

  • +Law 3:17; 17:13; Kum 12:23; Mdo 15:20, 29
  • +Kut 8:7; Kum 18:10-12; Gal 5:19, 20; Ufu 21:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    9/8/1993, uku. 27

Mambo ya Walawi 19:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Msipunguze; Msikate.”

Marejeo

  • +Law 21:1, 5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2004, uku. 24

    Amkeni!,

    1/22/2000, kur. 22-24

    9/22/1999, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 5/15 24; g00 1/22 22, 24; g99 9/22 30

Mambo ya Walawi 19:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa ajili ya nafsi iliyokufa.” Neno la Kiebrania neʹphesh katika andiko hili linamaanisha mtu aliyekufa.

Marejeo

  • +Kum 14:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 50

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2003, uku. 27

    4/1/1987, uku. 31

    Amkeni!,

    8/8/2000, kur. 18-19

    10/8/1995, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 7/15 27; g00 8/8 18-19

Mambo ya Walawi 19:29

Marejeo

  • +Kum 23:17
  • +Ebr 13:4; 1Pe 4:3

Mambo ya Walawi 19:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuogopa.”

Marejeo

  • +Kut 20:10; 31:13

Mambo ya Walawi 19:31

Marejeo

  • +Law 20:6; Kum 18:10-12; 1Nya 10:13; Isa 8:19
  • +Law 20:27; Mdo 16:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 24

Mambo ya Walawi 19:32

Marejeo

  • +Met 16:31; 20:29
  • +Ayu 32:6; Met 23:22; 1Ti 5:1
  • +Ayu 28:28; Met 1:7; 8:13; 1Pe 2:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2008, uku. 21

    6/15/2000, uku. 21

    8/1/1999, uku. 20

    8/1/1994, uku. 27

    3/15/1993, uku. 27

    6/1/1987, uku. 5

    Amkeni!,

    10/8/2004, kur. 22-23

    4/8/1999, uku. 31

    Furaha ya Familia, uku. 149

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 10/15 21; g04 10/8 22-23; w00 6/15 21; w99 8/1 20; g99 4/8 31; fy 149

Mambo ya Walawi 19:33

Marejeo

  • +Kut 23:9

Mambo ya Walawi 19:34

Marejeo

  • +Kut 12:49
  • +Kut 22:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 12

Mambo ya Walawi 19:35

Marejeo

  • +Kum 25:13, 15; Met 20:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 10

Mambo ya Walawi 19:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kipimo sahihi cha efa.” Angalia Nyongeza B14.

  • *

    Tnn., “kipimo sahihi cha hini.” Angalia Nyongeza B14.

Marejeo

  • +Met 11:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 10

Mambo ya Walawi 19:37

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “maamuzi yangu yote ya hukumu.”

Marejeo

  • +Law 18:5; Kum 4:6

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 19:2Law 11:44; Isa 6:3; 1Pe 1:15, 16; Ufu 4:8
Law. 19:3Kut 20:12; Efe 6:2; Ebr 12:9
Law. 19:3Kut 20:8, 11; 31:13; Lu 6:5
Law. 19:4Law 26:1; Zb 96:5; Hab 2:18; 1Ko 10:14
Law. 19:4Kut 20:4, 23; Kum 27:15
Law. 19:5Law 3:1
Law. 19:5Law 7:11, 12
Law. 19:6Law 7:17, 18
Law. 19:9Law 23:22; Kum 24:19
Law. 19:10Kum 15:7
Law. 19:11Kut 20:15; Efe 4:28
Law. 19:11Law 6:2; Met 12:22; Efe 4:25
Law. 19:12Kut 20:7; Mt 5:33, 37; Yak 5:12
Law. 19:13Met 22:16; Mk 10:19
Law. 19:13Met 22:22
Law. 19:13Kum 24:15; Yer 22:13; Yak 5:4
Law. 19:14Kum 27:18
Law. 19:14Law 25:17; Ne 5:15; Met 1:7; 8:13; 1Pe 2:17
Law. 19:15Kut 23:3; Kum 1:16, 17; 16:19; 2Nya 19:6; Ro 2:11; Yak 2:9
Law. 19:16Zb 15:1, 3
Law. 19:16Kut 20:16; 1Fa 21:13
Law. 19:17Met 10:18; 1Yo 2:9; 3:15
Law. 19:17Zb 141:5; Met 9:8; Mt 18:15
Law. 19:18Met 20:22; Ro 12:19
Law. 19:18Mt 5:43, 44; 22:39; Ro 13:9; Gal 5:14; Yak 2:8
Law. 19:19Kum 22:9
Law. 19:19Kum 22:11
Law. 19:21Law 6:6, 7
Law. 19:24Kum 26:1, 2; Met 3:9
Law. 19:26Law 3:17; 17:13; Kum 12:23; Mdo 15:20, 29
Law. 19:26Kut 8:7; Kum 18:10-12; Gal 5:19, 20; Ufu 21:8
Law. 19:27Law 21:1, 5
Law. 19:28Kum 14:1
Law. 19:29Kum 23:17
Law. 19:29Ebr 13:4; 1Pe 4:3
Law. 19:30Kut 20:10; 31:13
Law. 19:31Law 20:6; Kum 18:10-12; 1Nya 10:13; Isa 8:19
Law. 19:31Law 20:27; Mdo 16:16
Law. 19:32Met 16:31; 20:29
Law. 19:32Ayu 32:6; Met 23:22; 1Ti 5:1
Law. 19:32Ayu 28:28; Met 1:7; 8:13; 1Pe 2:17
Law. 19:33Kut 23:9
Law. 19:34Kut 12:49
Law. 19:34Kut 22:21
Law. 19:35Kum 25:13, 15; Met 20:10
Law. 19:36Met 11:1
Law. 19:37Law 18:5; Kum 4:6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 19:1-37

Mambo ya Walawi

19 Yehova akaendelea kumwambia Musa: 2 “Waambie hivi Waisraeli wote: ‘Mnapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mtakatifu.+

3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumheshimu* mama yake na baba yake,+ nanyi mnapaswa kushika sabato zangu.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. 4 Msiigeukie miungu ya ubatili+ wala msijitengenezee miungu ya chuma.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.

5 “‘Mnaponitolea mimi Yehova dhabihu ya ushirika,+ mnapaswa kuitoa kwa njia itakayofanya mpate kibali.+ 6 Inapaswa kuliwa siku inayotolewa na siku inayofuata, lakini siku ya tatu, dhabihu inayobaki inapaswa kuteketezwa.+ 7 Hata hivyo, ikiwa dhabihu yoyote inayobaki italiwa siku ya tatu, ni chukizo na haitakubaliwa. 8 Mtu anayeila ataadhibiwa kwa sababu ya kosa lake kwa maana amechafua kitu kitakatifu cha Yehova, naye lazima auawe.

9 “‘Mnapovuna mashamba yenu, msivune kabisa ukingo wa mashamba yenu, nanyi msiokote masalio ya mavuno yenu.+ 10 Pia, msikusanye masalio ya mashamba yenu ya mizabibu wala msiokote zabibu zilizoanguka chini. Waachieni maskini*+ na wageni. Mimi ni Yehova Mungu wenu.

11 “‘Msiibe,+ msidanganye,+ wala msitendeane kwa hila. 12 Msiape kwa uwongo kwa jina langu+ na hivyo kulichafua jina la Mungu wenu. Mimi ni Yehova. 13 Usimlaghai mwenzako+ wala kumnyang’anya vitu vyake.+ Usikae na mshahara wa kibarua usiku kucha mpaka asubuhi.+

14 “‘Usimtukane* kiziwi wala kuweka kizuizi mbele ya kipofu,+ nawe ni lazima umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.

15 “‘Usitoe hukumu isiyo ya haki. Usiwabague maskini au kuwapendelea matajiri.+ Unapaswa kumhukumu mwenzako kwa haki.

16 “‘Usizungukezunguke kati ya watu wako ukieneza uchongezi.+ Usihatarishe uhai wa* mwenzako.+ Mimi ni Yehova.

17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukashiriki dhambi yake.

18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo dhidi ya wana wa watu wako, ni lazima umpende mwenzako kama unavyojipenda mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.

19 “‘Mnapaswa kushika sheria zangu: Usiwaache wanyama wako wa kufugwa wazaane na wanyama wengine wa aina tofauti. Usipande mbegu za aina mbili+ katika shamba lako, na usivae vazi lililoshonwa kwa nyuzi za aina mbili.+

20 “‘Mwanamume akifanya ngono na kijakazi anayechumbiwa na mwanamume mwingine, na iwe kwamba kijakazi huyo hajakombolewa wala kuwekwa huru, wanapaswa kuadhibiwa. Hata hivyo, hawapaswi kuuawa, kwa sababu kijakazi huyo hakuwa amewekwa huru. 21 Mwanamume huyo anapaswa kumletea Yehova dhabihu yake ya hatia kwenye mlango wa hema la mkutano, kondoo dume wa dhabihu ya hatia.+ 22 Kuhani atamtoa kondoo dume huyo wa dhabihu ya hatia ili kufunika dhambi ya mwanamume huyo mbele za Yehova, naye atasamehewa dhambi aliyotenda.

23 “‘Mtakapofika katika nchi hiyo na kupanda mti wowote wa matunda, mnapaswa kuyaona matunda yake kuwa machafu na yaliyokatazwa.* Kwa miaka mitatu mmekatazwa kuyala.* Hayapaswi kuliwa. 24 Lakini katika mwaka wa nne, matunda yake yote yatakuwa matakatifu, mtamtolea Yehova kwa shangwe.+ 25 Kisha katika mwaka wa tano, mnaweza kula matunda yake ili kuongeza mazao yake kwenye mavuno yenu. Mimi ni Yehova Mungu wenu.

26 “‘Msile kitu chochote kilicho na damu.+

“‘Msitafute ishara za ubashiri au kufanya uchawi.+

27 “‘Msinyoe* masharafa yenu au kuharibu kingo za ndevu zenu.+

28 “‘Msijikatekate mwilini kwa ajili ya mtu aliyekufa,*+ nanyi msijichanje chale. Mimi ni Yehova.

29 “‘Usimwaibishe binti yako kwa kumfanya kuwa kahaba,+ ili nchi isifanye ukahaba na kujaa upotovu wa maadili.+

30 “‘Ni lazima mshike sabato zangu,+ nanyi mnapaswa kuheshimu* mahali pangu patakatifu. Mimi ni Yehova.

31 “‘Msiende kwa watu wanaowasiliana na roho,+ wala msitafute ushauri kutoka kwa wabashiri+ msije mkajichafua. Mimi ni Yehova Mungu wenu.

32 “‘Unapaswa kuinuka mbele ya kichwa chenye mvi,+ na ni lazima umheshimu mzee,+ nawe lazima umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.

33 “‘Mgeni akiishi nanyi katika nchi yenu, msimtese.+ 34 Mgeni anayeishi pamoja nanyi mtamwona kama mwenyeji;+ nanyi lazima mumpende kama mnavyojipenda wenyewe, kwa maana mlikuwa wageni nchini Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.

35 “‘Msitumie vipimo vya uwongo kupima urefu, uzito, au ujazo.+ 36 Mnapaswa kutumia mizani sahihi, vipimo sahihi, kipimo sahihi cha vitu vikavu,* na kipimo sahihi cha vitu vya majimaji.*+ Mimi ni Yehova Mungu wenu niliyewatoa katika nchi ya Misri. 37 Kwa hiyo ni lazima mshike masharti yangu yote na sheria zangu zote,* mnapaswa kuzifuata.+ Mimi ni Yehova.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki