Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati—Yaliyomo

      • Wimbo wa Musa (1-47)

        • Yehova ni Mwamba (4)

        • Waisraeli wamsahau Mwamba wao (18)

        • “Kisasi ni changu” (35)

        • “Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake” (43)

      • Musa atafia juu ya Mlima Nebo (48-52)

Kumbukumbu la Torati 32:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2020, uku. 10

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2016, kur. 3-4

    Amkeni!,

    5/22/1995, uku. 31

Kumbukumbu la Torati 32:3

Marejeo

  • +Yoh 17:26
  • +1Nya 29:11; Zb 145:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2020, kur. 10-11

Kumbukumbu la Torati 32:4

Marejeo

  • +2Sa 22:31; Zb 18:2; 19:7; Yak 1:17
  • +Zb 33:5
  • +Kum 7:9; 1Pe 4:19
  • +Kum 25:16
  • +Mwa 18:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 125

    Mkaribie Yehova, uku. 112

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2009, uku. 14

    9/15/2004, uku. 27

    3/1/1989, kur. 19-22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/1 14; w04 9/15 27; cl 112

Kumbukumbu la Torati 32:5

Marejeo

  • +Kum 31:27; Amu 2:19; Zb 14:1
  • +Isa 1:4
  • +Zb 78:8; Lu 9:41

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    3/22/2002, uku. 30

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1988, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    g02 3/22 30

Kumbukumbu la Torati 32:6

Marejeo

  • +Isa 1:2
  • +Yer 4:22
  • +Kut 4:22; Kum 32:18; Isa 63:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2008, uku. 5

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/1 5

Kumbukumbu la Torati 32:7

Marejeo

  • +Kut 13:14; Zb 44:1

Kumbukumbu la Torati 32:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Alipoitenganisha jamii ya wanadamu.”

Marejeo

  • +Mwa 10:5; Zb 115:16
  • +Mwa 11:9
  • +Kum 2:5, 19; Mdo 17:26
  • +Mwa 15:18; Kut 23:31

Kumbukumbu la Torati 32:9

Marejeo

  • +Kut 19:5; Kum 7:6
  • +Zb 78:71

Kumbukumbu la Torati 32:10

Marejeo

  • +Kum 8:14, 15
  • +Yer 2:6
  • +Ne 9:19, 20
  • +Zek 2:8

Kumbukumbu la Torati 32:11

Marejeo

  • +Kut 19:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2001, uku. 9

    6/15/2001, uku. 26

    6/15/1996, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 6/15 26; w01 10/1 9; w96 6/15 11

Kumbukumbu la Torati 32:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, Yakobo.

Marejeo

  • +Kum 1:31
  • +Isa 43:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2001, uku. 9

    6/15/2001, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 6/15 26; w01 10/1 9

Kumbukumbu la Torati 32:13

Marejeo

  • +Kum 33:29
  • +Kum 8:7, 8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 547

Kumbukumbu la Torati 32:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mafuta ya kondoo.”

  • *

    Tnn., “mafuta ya figo ya ngano.”

  • *

    Au “maji.”

Marejeo

  • +Zb 147:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2015, uku. 15

    9/15/2004, uku. 27

    5/1/1989, uku. 16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 9/15 27

Kumbukumbu la Torati 32:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mnyoofu,” jina la heshima la Israeli.

Marejeo

  • +Kum 31:20; Ne 9:25
  • +Isa 1:4; Ho. 13:6

Kumbukumbu la Torati 32:16

Marejeo

  • +Amu 2:12; 1Fa 14:22; 1Ko 10:21, 22
  • +2Fa 23:13; Eze 8:17

Kumbukumbu la Torati 32:17

Marejeo

  • +Law 17:7; Zb 106:37; 1Ko 10:20

Kumbukumbu la Torati 32:18

Marejeo

  • +Zb 106:21; Isa 17:10; Yer 2:32
  • +Kum 4:34

Kumbukumbu la Torati 32:19

Marejeo

  • +Amu 2:14; Zb 78:59

Kumbukumbu la Torati 32:20

Marejeo

  • +Kum 31:17
  • +Kum 32:5; Isa 65:2; Mt 17:17
  • +Isa 1:2

Kumbukumbu la Torati 32:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wivu wangu.”

Marejeo

  • +Zb 96:5; 1Ko 10:21, 22
  • +1Sa 12:10, 21
  • +Ho. 2:23; Ro 9:25; 11:11; 1Pe 2:10
  • +Ro 10:19

Kumbukumbu la Torati 32:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Omb 4:11
  • +Amo 9:2

Kumbukumbu la Torati 32:24

Marejeo

  • +Kum 28:53
  • +Kum 28:21, 22
  • +Law 26:22

Kumbukumbu la Torati 32:25

Marejeo

  • +Omb 1:20
  • +Eze 7:15
  • +2Nya 36:17; Omb 2:21

Kumbukumbu la Torati 32:27

Marejeo

  • +1Sa 12:22; Eze 20:14
  • +Kut 32:12; Hes 14:15, 16
  • +Zb 115:2

Kumbukumbu la Torati 32:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “lisilosikia ushauri.”

Marejeo

  • +Mt 13:15

Kumbukumbu la Torati 32:29

Marejeo

  • +Zb 81:13
  • +Ho. 14:9
  • +Yer 2:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 35

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2008, kur. 8-11

    7/1/1999, uku. 32

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/1 8-11; w99 7/1 32

Kumbukumbu la Torati 32:30

Marejeo

  • +2Nya 24:24
  • +Amu 2:14; 1Sa 12:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 734-735

Kumbukumbu la Torati 32:31

Marejeo

  • +1Sa 2:2
  • +Kut 14:25; 1Sa 4:8; Ezr 1:2, 3

Kumbukumbu la Torati 32:32

Marejeo

  • +Yud 7
  • +Isa 5:4; Yer 2:21

Kumbukumbu la Torati 32:34

Marejeo

  • +Ro 2:5

Kumbukumbu la Torati 32:35

Marejeo

  • +Nah 1:2; Ro 12:19; Ebr 10:30
  • +Zb 73:12, 18

Kumbukumbu la Torati 32:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ataghairi kwa sababu ya.”

Marejeo

  • +Ebr 10:30
  • +Amu 2:18; Zb 90:13; 106:45; 135:14

Kumbukumbu la Torati 32:37

Marejeo

  • +Amu 10:14

Kumbukumbu la Torati 32:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kula dhabihu zao bora.”

Marejeo

  • +Ho. 2:8; 1Ko 10:20, 21

Kumbukumbu la Torati 32:39

Marejeo

  • +Isa 41:4; 48:12
  • +Kum 4:35
  • +1Sa 2:6; Zb 68:20
  • +2Nya 21:16, 18
  • +Hes 12:13; Yer 17:14
  • +Isa 43:13

Kumbukumbu la Torati 32:40

Marejeo

  • +1Ti 1:17; Ufu 10:5, 6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

Kumbukumbu la Torati 32:41

Marejeo

  • +Nah 1:3
  • +Isa 1:24; 59:18

Kumbukumbu la Torati 32:43

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Na kuisafisha.”

Marejeo

  • +Mwa 12:2, 3; 1Fa 8:43; Ro 3:29; 15:10
  • +2Fa 9:7; Ufu 6:10
  • +Mik 5:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1998, kur. 12, 17

    4/15/1991, kur. 12-13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 2/1 12, 17

Kumbukumbu la Torati 32:44

Maelezo ya Chini

  • *

    Jina la awali la Yoshua. Hoshea ni ufupisho wa jina Hoshaya, linalomaanisha “Aliyeokolewa na Yah; Yah Ameokoa.”

Marejeo

  • +Ufu 15:3
  • +Hes 11:28; Kum 31:22, 23

Kumbukumbu la Torati 32:46

Marejeo

  • +Kum 11:18
  • +Kum 6:6, 7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2001, uku. 19

    8/15/1988, kur. 10-12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 10/15 19

Kumbukumbu la Torati 32:47

Marejeo

  • +Law 18:5; Kum 30:19; Ro 10:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2023, uku. 3

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2008, kur. 5-6

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 4/15 5-6

Kumbukumbu la Torati 32:49

Marejeo

  • +Hes 27:12
  • +Kum 34:1
  • +Mwa 10:19; 15:18; Yos 1:3

Kumbukumbu la Torati 32:50

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kukusanywa kwa watu wako.” Huu ni msemo wa kishairi unaorejelea kifo.

Marejeo

  • +Hes 20:28; 33:38

Kumbukumbu la Torati 32:51

Marejeo

  • +Hes 20:12, 13
  • +Law 22:32; Isa 8:13

Kumbukumbu la Torati 32:52

Marejeo

  • +Hes 27:13, 14; Kum 3:27; 34:4, 5

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 32:3Yoh 17:26
Kum. 32:31Nya 29:11; Zb 145:3
Kum. 32:42Sa 22:31; Zb 18:2; 19:7; Yak 1:17
Kum. 32:4Zb 33:5
Kum. 32:4Kum 7:9; 1Pe 4:19
Kum. 32:4Kum 25:16
Kum. 32:4Mwa 18:25
Kum. 32:5Kum 31:27; Amu 2:19; Zb 14:1
Kum. 32:5Isa 1:4
Kum. 32:5Zb 78:8; Lu 9:41
Kum. 32:6Isa 1:2
Kum. 32:6Yer 4:22
Kum. 32:6Kut 4:22; Kum 32:18; Isa 63:16
Kum. 32:7Kut 13:14; Zb 44:1
Kum. 32:8Mwa 10:5; Zb 115:16
Kum. 32:8Mwa 11:9
Kum. 32:8Kum 2:5, 19; Mdo 17:26
Kum. 32:8Mwa 15:18; Kut 23:31
Kum. 32:9Kut 19:5; Kum 7:6
Kum. 32:9Zb 78:71
Kum. 32:10Kum 8:14, 15
Kum. 32:10Yer 2:6
Kum. 32:10Ne 9:19, 20
Kum. 32:10Zek 2:8
Kum. 32:11Kut 19:4
Kum. 32:12Kum 1:31
Kum. 32:12Isa 43:12
Kum. 32:13Kum 33:29
Kum. 32:13Kum 8:7, 8
Kum. 32:14Zb 147:14
Kum. 32:15Kum 31:20; Ne 9:25
Kum. 32:15Isa 1:4; Ho. 13:6
Kum. 32:16Amu 2:12; 1Fa 14:22; 1Ko 10:21, 22
Kum. 32:162Fa 23:13; Eze 8:17
Kum. 32:17Law 17:7; Zb 106:37; 1Ko 10:20
Kum. 32:18Zb 106:21; Isa 17:10; Yer 2:32
Kum. 32:18Kum 4:34
Kum. 32:19Amu 2:14; Zb 78:59
Kum. 32:20Kum 31:17
Kum. 32:20Kum 32:5; Isa 65:2; Mt 17:17
Kum. 32:20Isa 1:2
Kum. 32:21Zb 96:5; 1Ko 10:21, 22
Kum. 32:211Sa 12:10, 21
Kum. 32:21Ho. 2:23; Ro 9:25; 11:11; 1Pe 2:10
Kum. 32:21Ro 10:19
Kum. 32:22Omb 4:11
Kum. 32:22Amo 9:2
Kum. 32:24Kum 28:53
Kum. 32:24Kum 28:21, 22
Kum. 32:24Law 26:22
Kum. 32:25Omb 1:20
Kum. 32:25Eze 7:15
Kum. 32:252Nya 36:17; Omb 2:21
Kum. 32:271Sa 12:22; Eze 20:14
Kum. 32:27Kut 32:12; Hes 14:15, 16
Kum. 32:27Zb 115:2
Kum. 32:28Mt 13:15
Kum. 32:29Zb 81:13
Kum. 32:29Ho. 14:9
Kum. 32:29Yer 2:19
Kum. 32:302Nya 24:24
Kum. 32:30Amu 2:14; 1Sa 12:9
Kum. 32:311Sa 2:2
Kum. 32:31Kut 14:25; 1Sa 4:8; Ezr 1:2, 3
Kum. 32:32Yud 7
Kum. 32:32Isa 5:4; Yer 2:21
Kum. 32:34Ro 2:5
Kum. 32:35Nah 1:2; Ro 12:19; Ebr 10:30
Kum. 32:35Zb 73:12, 18
Kum. 32:36Ebr 10:30
Kum. 32:36Amu 2:18; Zb 90:13; 106:45; 135:14
Kum. 32:37Amu 10:14
Kum. 32:38Ho. 2:8; 1Ko 10:20, 21
Kum. 32:39Isa 41:4; 48:12
Kum. 32:39Kum 4:35
Kum. 32:391Sa 2:6; Zb 68:20
Kum. 32:392Nya 21:16, 18
Kum. 32:39Hes 12:13; Yer 17:14
Kum. 32:39Isa 43:13
Kum. 32:401Ti 1:17; Ufu 10:5, 6
Kum. 32:41Nah 1:3
Kum. 32:41Isa 1:24; 59:18
Kum. 32:43Mwa 12:2, 3; 1Fa 8:43; Ro 3:29; 15:10
Kum. 32:432Fa 9:7; Ufu 6:10
Kum. 32:43Mik 5:15
Kum. 32:44Ufu 15:3
Kum. 32:44Hes 11:28; Kum 31:22, 23
Kum. 32:46Kum 11:18
Kum. 32:46Kum 6:6, 7
Kum. 32:47Law 18:5; Kum 30:19; Ro 10:5
Kum. 32:49Hes 27:12
Kum. 32:49Kum 34:1
Kum. 32:49Mwa 10:19; 15:18; Yos 1:3
Kum. 32:50Hes 20:28; 33:38
Kum. 32:51Hes 20:12, 13
Kum. 32:51Law 22:32; Isa 8:13
Kum. 32:52Hes 27:13, 14; Kum 3:27; 34:4, 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 32:1-52

Kumbukumbu la Torati

32 “Sikilizeni, enyi mbingu, nami nitasema,

Dunia na isikie maneno ya kinywa changu.

 2 Mafundisho yangu yatanyesha kama mvua;

Maneno yangu yatadondoka kama umande,

Kama mvua ya rasharasha juu ya majani

Na kama manyunyu mengi juu ya mimea.

 3 Kwa maana nitalitangaza jina la Yehova.+

Nitaongea kuhusu ukuu wa Mungu wetu!+

 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+

Kwa maana njia zake zote ni haki.+

Mungu wa uaminifu+ ambaye kamwe hana ukosefu wa haki;+

Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+

 5 Wao ndio wametenda kwa njia ya upotovu.+

Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+

Wao ni kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+

 6 Je, hivi ndivyo mnavyopaswa kumtendea Yehova,+

Enyi watu wajinga na wasio na hekima?+

Je, yeye si Baba yenu aliyewaumba,+

Si Yeye aliyewaumba ninyi na kuwaimarisha kabisa?

 7 Kumbukeni siku za zamani;

Fikirieni miaka ya vizazi vilivyopita.

Waulizeni baba zenu, nao watawaambia;+

Wazee wenu, nao watawajulisha.

 8 Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi wao,+

Alipowatenganisha wana wa Adamu,*+

Aliweka mpaka wa mataifa+

Kulingana na idadi ya wana wa Israeli.+

 9 Kwa maana watu wa Yehova ni fungu lake;+

Yakobo ni urithi wake.+

10 Alimpata katika nchi yenye nyika+

Na katika jangwa tupu, lenye milio.+

Alimzunguka akimlinda, akamtunza,+

Na kumlinda kama mboni ya jicho lake.+

11 Kama tai anavyokitikisa kiota chake,

Anavyopaa juu ya makinda yake,

Akitandaza mabawa yake, na kuwachukua,

Akiwabeba juu ya mabawa yake,+

12 Yehova peke yake aliendelea kumwongoza;*+

Hakuna mungu yeyote wa kigeni aliyekuwa pamoja naye.+

13 Alimpitisha juu ya sehemu za juu za dunia,+

Hivi kwamba akala mazao ya shambani.+

Alimlisha asali kutoka katika jabali

Na mafuta kutoka katika mwamba mgumu,

14 Siagi ya mifugo na maziwa ya kundi,

Pamoja na kondoo bora,*

Na kondoo dume wa Bashani, na mbuzi dume,

Pamoja na ngano bora;*+

Nawe ulikunywa divai kutoka katika damu* ya zabibu.

15 Yeshuruni* aliponenepa, alipiga teke kwa uasi.

Umenenepa, una mafuta mengi mwilini, tumbo lako limenenepa.+

Basi akamwacha Mungu, aliyemuumba,+

Na kumdharau Mwamba wa wokovu wake.

16 Kwa miungu ya kigeni walichochea hasira yake kali;+

Walikuwa wakimkasirisha kwa mambo yanayochukiza.+

17 Walikuwa wakiwatolea dhabihu roho waovu, wala si Mungu,+

Miungu ambayo hawakuijua,

Mipya iliyokuja hivi karibuni,

Miungu ambayo mababu zenu hawakuijua.

18 Mlimsahau Mwamba,+ baba yenu aliyewazaa,

Nanyi hamkumkumbuka Mungu aliyewazaa.+

19 Yehova alipoona hilo, aliwakataa+

Kwa sababu wanawe na mabinti zake walimkasirisha.

20 Kwa hiyo akasema, ‘Nitauficha uso wangu wasiuone;+

Nitaona kitakachowapata.

Kwa maana wao ni kizazi kilichopotoka,+

Wana ambao hawana uaminifu.+

21 Wamechochea hasira yangu kali* kwa kitu ambacho si mungu;+

Wamenikasirisha kwa sanamu zao za ubatili.+

Kwa hiyo nitawachochea wawe na wivu kwa wale ambao si taifa;+

Nitawakasirisha kwa kutumia taifa lenye ujinga.+

22 Kwa maana hasira yangu imewasha moto+

Ambao utateketeza mpaka kwenye kina cha Kaburi,*+

Nao utateketeza dunia na mazao yake

Na kuchoma moto misingi ya milima.

23 Nitazidisha misiba yao;

Nitawapiga kwa mishale yangu mpaka iishe.

24 Watachoka kwa sababu ya njaa+

Na kuliwa na homa kali na maangamizi machungu.+

Nitawatumia meno ya wanyama ili yawashambulie+

Na sumu ya wanyama wanaotambaa mavumbini.

25 Nje, upanga utawaangamiza watoto wao;+

Na ndani, kuna hofu+

Kwa kijana na bikira,

Mtoto anayenyonya pamoja na mzee mwenye mvi.+

26 Ningesema: “Nitawatawanya;

Nitafanya ukumbusho wao usahauliwe kabisa miongoni mwa wanadamu,”

27 Isingekuwa kwa sababu ya kuogopa jinsi maadui wangu watakavyotenda,+

Kwa sababu huenda wapinzani wakalielewa vibaya jambo hilo.+

Huenda wakasema: “Nguvu zetu zimeshinda;+

Si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”

28 Kwa maana wao ni taifa lisilo na akili,*

Na hawana uelewaji miongoni mwao.+

29 Laiti wangekuwa na hekima!+ Wangetafakari jambo hili.+

Wangefikiria mwisho wao.+

30 Mtu mmoja angewezaje kuwakimbiza 1,000,

Na wawili kuwafanya 10,000 wakimbie?+

Kama Mwamba wao hangekuwa amewauza+

Na Yehova kuwatia mikononi mwa maadui?

31 Kwa maana mwamba wao si kama Mwamba wetu,+

Hata maadui wetu wameelewa hilo.+

32 Kwa maana mzabibu wao unatoka katika mzabibu wa Sodoma

Na kutoka katika matuta ya Gomora.+

Zabibu zao ni zabibu za sumu,

Vishada vyao ni vichungu.+

33 Divai yao ni sumu ya nyoka,

Sumu kali ya swila.

34 Je, hili sijaliweka akibani,

Na kulifungia kabisa katika ghala langu?+

35 Kisasi ni changu, na malipo,+

Wakati utakapofika ambapo mguu wao utateleza,+

Kwa maana siku ya msiba wao iko karibu,

Na kinachowasubiri kitafika haraka.’

36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake,+

Naye atawahurumia* watumishi wake+

Atakapoona nguvu zao zimeisha,

Na kwamba waliobaki ni wasio na uwezo na walio dhaifu peke yao.

37 Ndipo atakaposema, ‘Miungu yao iko wapi,+

Mwamba ambao waliukimbilia,

38 Iliyokuwa ikila mafuta ya dhabihu zao,*

Na kunywa divai ya matoleo yao ya kinywaji?+

Acheni iinuke na kuwasaidia ninyi.

Na iwe kimbilio lenu.

39 Sasa tazameni kwamba mimi—mimi ndiye,+

Na hakuna miungu mingine ila mimi.+

Mimi huua, nami hufanya kuwa hai.+

Ninajeruhi,+ nami nitaponya,+

Na hakuna anayeweza kumwokoa yeyote kutoka mikononi mwangu.+

40 Kwa maana nainua mkono wangu mbinguni,

Na kuapa hivi: “Kwa hakika kama niishivyo milele,”+

41 Nikiunoa upanga wangu unaometameta

Na kuutayarisha mkono wangu ili uhukumu,+

Nitawalipiza kisasi maadui wangu+

Na kuwalipa wale wanaonichukia.

42 Nitailewesha mishale yangu kwa damu,

Na upanga wangu utakula nyama,

Pamoja na damu ya waliouawa na pia mateka,

Pamoja na vichwa vya viongozi wa adui.’

43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+

Kwa maana atailipizia kisasi damu ya watumishi wake,+

Atawalipiza kisasi maadui wake+

Na kufunika dhambi ya* nchi ya watu wake.”

44 Basi Musa akaja na kuyasema maneno yote ya wimbo huo watu wakisikia;+ alikuwa na Hoshea*+ mwana wa Nuni. 45 Musa alipomaliza kuwaambia Waisraeli wote maneno hayo yote, 46 akawaambia hivi: “Wekeni mioyoni mwenu maonyo yote niliyowapa leo,+ ili muwaamuru wana wenu wawe waangalifu kutenda maneno yote ya Sheria hii.+ 47 Kwa maana haya si maneno matupu kwenu, bali yanamaanisha uhai wenu,+ na kwa maneno haya mnaweza kuishi kwa muda mrefu katika nchi ambayo mnavuka Yordani kuimiliki.”

48 Yehova akaongea na Musa siku hiyohiyo na kumwambia hivi: 49 “Panda juu ya mlima huu wa Abarimu,+ Mlima Nebo,+ ulio katika nchi ya Moabu, unaoelekeana na Yeriko, nawe utazame nchi ya Kanaani, ninayowapa Waisraeli waimiliki.+ 50 Kisha utakufa juu ya mlima utakaopanda hivi punde, na kuzikwa pamoja na watu wako,* kama Haruni ndugu yako alivyokufa juu ya Mlima Hori+ na kuzikwa pamoja na watu wake, 51 kwa sababu nyote wawili hamkuwa waaminifu kwangu miongoni mwa Waisraeli kwenye maji ya Meriba+ kule Kadeshi katika nyika ya Zini, kwa sababu hamkunitakasa mbele ya Waisraeli.+ 52 Utaiona nchi hiyo kwa mbali, lakini hutaingia katika nchi hiyo ninayowapa Waisraeli.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki