Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 22
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 22:1

Marejeo

  • +1Sa 21:10
  • +Zb 34:19; 56:13
  • +Zb 57:utangulizi; 142:utangulizi; Ebr 11:38
  • +Mwa 38:1; Yos 15:35; 2Sa 23:13; 1Nya 11:15; Mik 1:15

1 Samweli 22:2

Marejeo

  • +Amu 11:3; Mt 11:28
  • +Amo 2:6; Mt 18:26
  • +Amu 18:25; 2Sa 17:8
  • +Zb 142:7
  • +1Sa 30:22; 2Sa 5:2; 1Nya 11:15

1 Samweli 22:3

Marejeo

  • +Ru 4:10, 17; 1Sa 14:47; 20:33
  • +Mwa 47:11; Kut 20:12; Met 23:24; Mt 19:19

1 Samweli 22:4

Marejeo

  • +1Sa 22:1; 2Sa 23:13; Zb 57:1; 142:utangulizi

1 Samweli 22:5

Marejeo

  • +2Sa 24:11; 1Nya 21:9; 29:29; 2Nya 29:25
  • +1Sa 23:3

1 Samweli 22:6

Marejeo

  • +Mwa 21:33; 1Sa 31:13; 1Nya 10:12
  • +1Sa 18:10; 19:9; 20:33

1 Samweli 22:7

Marejeo

  • +Ru 4:22; 1Sa 20:27; 25:10
  • +1Sa 8:14
  • +Kut 18:21; 1Sa 8:12

1 Samweli 22:8

Marejeo

  • +1Sa 17:31; Met 15:22
  • +1Sa 18:3; 20:17

1 Samweli 22:9

Marejeo

  • +1Sa 21:7; Zb 52:utangulizi
  • +1Sa 21:1
  • +1Sa 14:3; 22:20

1 Samweli 22:10

Marejeo

  • +Kut 20:16; Zb 52:2, 3; Met 19:5; 25:18; 29:12; Eze 22:9; Mt 26:59
  • +1Sa 21:6
  • +1Sa 21:9

1 Samweli 22:11

Marejeo

  • +1Sa 21:1

1 Samweli 22:13

Marejeo

  • +Hes 35:30; Kum 19:15; 1Ti 5:19
  • +Zb 119:69

1 Samweli 22:14

Marejeo

  • +1Sa 19:4; 20:32
  • +1Sa 24:11; 26:23; 2Sa 22:23
  • +1Sa 17:25; 18:27
  • +1Sa 18:5, 13

1 Samweli 22:15

Marejeo

  • +1Sa 22:10; 28:6
  • +1Sa 21:1, 2

1 Samweli 22:16

Marejeo

  • +1Sa 14:44; 20:31; Met 28:5, 15
  • +Kum 24:16; 1Sa 2:32

1 Samweli 22:17

Marejeo

  • +1Sa 8:11; 2Sa 15:1; 1Fa 1:5; 2Fa 10:25
  • +Met 28:16; Mhu 4:13
  • +Kut 1:17; Kum 19:10; Mdo 4:19; 5:29

1 Samweli 22:18

Marejeo

  • +1Sa 22:9; Zb 52:utangulizi
  • +Mwa 25:30; 36:43; Hes 24:18; 2Fa 8:21
  • +1Sa 2:31; 2Nya 24:21; Met 29:10
  • +1Sa 2:28

1 Samweli 22:19

Marejeo

  • +1Sa 21:1; 22:9

1 Samweli 22:20

Marejeo

  • +1Sa 2:31; 14:3; 23:6; 30:7; 2Sa 20:25; 1Fa 2:27

1 Samweli 22:22

Marejeo

  • +1Sa 21:7
  • +Met 14:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1986, uku. 31

1 Samweli 22:23

Marejeo

  • +1Fa 2:26

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 22:11Sa 21:10
1 Sam. 22:1Zb 34:19; 56:13
1 Sam. 22:1Zb 57:utangulizi; 142:utangulizi; Ebr 11:38
1 Sam. 22:1Mwa 38:1; Yos 15:35; 2Sa 23:13; 1Nya 11:15; Mik 1:15
1 Sam. 22:2Amu 11:3; Mt 11:28
1 Sam. 22:2Amo 2:6; Mt 18:26
1 Sam. 22:2Amu 18:25; 2Sa 17:8
1 Sam. 22:2Zb 142:7
1 Sam. 22:21Sa 30:22; 2Sa 5:2; 1Nya 11:15
1 Sam. 22:3Ru 4:10, 17; 1Sa 14:47; 20:33
1 Sam. 22:3Mwa 47:11; Kut 20:12; Met 23:24; Mt 19:19
1 Sam. 22:41Sa 22:1; 2Sa 23:13; Zb 57:1; 142:utangulizi
1 Sam. 22:52Sa 24:11; 1Nya 21:9; 29:29; 2Nya 29:25
1 Sam. 22:51Sa 23:3
1 Sam. 22:6Mwa 21:33; 1Sa 31:13; 1Nya 10:12
1 Sam. 22:61Sa 18:10; 19:9; 20:33
1 Sam. 22:7Ru 4:22; 1Sa 20:27; 25:10
1 Sam. 22:71Sa 8:14
1 Sam. 22:7Kut 18:21; 1Sa 8:12
1 Sam. 22:81Sa 17:31; Met 15:22
1 Sam. 22:81Sa 18:3; 20:17
1 Sam. 22:91Sa 21:7; Zb 52:utangulizi
1 Sam. 22:91Sa 21:1
1 Sam. 22:91Sa 14:3; 22:20
1 Sam. 22:10Kut 20:16; Zb 52:2, 3; Met 19:5; 25:18; 29:12; Eze 22:9; Mt 26:59
1 Sam. 22:101Sa 21:6
1 Sam. 22:101Sa 21:9
1 Sam. 22:111Sa 21:1
1 Sam. 22:13Hes 35:30; Kum 19:15; 1Ti 5:19
1 Sam. 22:13Zb 119:69
1 Sam. 22:141Sa 19:4; 20:32
1 Sam. 22:141Sa 24:11; 26:23; 2Sa 22:23
1 Sam. 22:141Sa 17:25; 18:27
1 Sam. 22:141Sa 18:5, 13
1 Sam. 22:151Sa 22:10; 28:6
1 Sam. 22:151Sa 21:1, 2
1 Sam. 22:161Sa 14:44; 20:31; Met 28:5, 15
1 Sam. 22:16Kum 24:16; 1Sa 2:32
1 Sam. 22:171Sa 8:11; 2Sa 15:1; 1Fa 1:5; 2Fa 10:25
1 Sam. 22:17Met 28:16; Mhu 4:13
1 Sam. 22:17Kut 1:17; Kum 19:10; Mdo 4:19; 5:29
1 Sam. 22:181Sa 22:9; Zb 52:utangulizi
1 Sam. 22:18Mwa 25:30; 36:43; Hes 24:18; 2Fa 8:21
1 Sam. 22:181Sa 2:31; 2Nya 24:21; Met 29:10
1 Sam. 22:181Sa 2:28
1 Sam. 22:191Sa 21:1; 22:9
1 Sam. 22:201Sa 2:31; 14:3; 23:6; 30:7; 2Sa 20:25; 1Fa 2:27
1 Sam. 22:221Sa 21:7
1 Sam. 22:22Met 14:15
1 Sam. 22:231Fa 2:26
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 22:1-23

1 Samweli

22 Basi Daudi akaondoka huko,+ na kukimbilia+ pango+ la Adulamu;+ na ndugu zake na nyumba yote ya baba yake wakasikia habari hiyo, nao wakaondoka, wakashuka kumwendea huko. 2 Na watu wote wenye taabu+ na watu wote waliokuwa na mtu anayewadai deni+ na watu wote waliokuwa na uchungu ndani ya nafsi+ wakaanza kukusanyika pamoja kwake,+ akawa mkuu juu yao;+ na watu mia nne wakaja kuwa pamoja naye.

3 Baadaye Daudi akaondoka huko akaenda Mispe katika Moabu, akamwambia mfalme wa Moabu:+ “Tafadhali, acha baba yangu na mama+ yangu wakae pamoja nanyi mpaka nitakapojua yale ambayo Mungu atanitendea.” 4 Basi akawapa makao mbele ya mfalme wa Moabu, nao wakaendelea kukaa pamoja naye siku zote ambazo Daudi alikuwa mahali pasipoweza kufikiwa.+

5 Baada ya muda, nabii Gadi+ akamwambia Daudi: “Usiendelee kukaa mahali pasipoweza kufikiwa. Nenda zako, unapaswa kurudi katika nchi ya Yuda.”+ Kwa hiyo Daudi akaenda zake, akaingia katika msitu wa Herethi.

6 Na Sauli akasikia kwamba Daudi na wale watu waliokuwa pamoja naye wameonekana. Wakati huo Sauli alikuwa ameketi katika Gibea chini ya mkwaju+ ulio katika mahali pa juu akiwa na mkuki+ wake mkononi mwake, na watumishi wake wote walikuwa wamemzunguka. 7 Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake waliokuwa wamemzunguka: “Tafadhali, sikilizeni, enyi Wabenyamini. Je, mwana wa Yese+ atawapa ninyi nyote mashamba na mizabibu?+ Je, atawaweka nyote kuwa wakuu wa maelfu+ na wakuu wa mamia? 8 Kwa maana mmepanga hila, ninyi nyote, juu yangu; wala hakuna yeyote anayenifunulia masikioni+ mwangu wakati mwanangu mwenyewe anapofanya agano+ na mwana wa Yese, wala hakuna yeyote kati yenu anayenisikitikia na kunifunulia masikioni mwangu kwamba mwanangu mwenyewe amemwinua mtumishi wangu juu yangu kuwa mviziaji kama ilivyo leo hii.”

9 Ndipo Doegi+ Mwedomu, aliyekuwa juu ya watumishi wa Sauli, akajibu na kusema: “Nilimwona mwana wa Yese akija Nobu kwa Ahimeleki+ mwana wa Ahitubu.+ 10 Naye akauliza+ Yehova kwa ajili yake; akampa vyakula,+ akampa upanga+ wa Goliathi yule Mfilisti.” 11 Mara moja mfalme akatuma watu wamwite Ahimeleki mwana wa Ahitubu kuhani na nyumba yote ya baba yake, makuhani waliokuwa katika Nobu.+ Basi wote wakaja kwa mfalme.

12 Sasa Sauli akasema: “Tafadhali, sikiliza, wewe mwana wa Ahitubu!” naye akasema: “Mimi hapa, bwana wangu.” 13 Na Sauli akaendelea kumwambia: “Kwa nini ninyi mmepanga hila juu yangu,+ wewe na mwana wa Yese, kwa kumpa yeye mkate na upanga, na kumuuliza Mungu kwa ajili yake, ili asimame juu yangu kama mviziaji kama ilivyo leo hii?”+ 14 Ndipo Ahimeleki akamjibu mfalme na kusema: “Na ni nani aliye kama Daudi kati ya watumishi wako wote,+ mwaminifu,+ pia mwana-mkwe+ wa mfalme na mkuu juu ya walinzi wako, na mwenye kuheshimiwa nyumbani mwako?+ 15 Je, ni leo nimeanza kumuuliza Mungu+ kwa ajili yake? Ni jambo lisilowaziwa kwangu! Mfalme asiweke jambo lolote juu ya mtumishi wake wala juu ya nyumba nzima ya baba yangu, kwa maana, kwa habari hizi, mtumishi wako hakujua jambo lolote liwe ni kubwa au dogo.”+

16 Lakini mfalme akasema: “Hakika utakufa,+ Ahimeleki, wewe pamoja na nyumba yote ya baba yako.”+ 17 Kwa hiyo mfalme akawaambia wakimbiaji+ waliokuwa wamesimama kumzunguka: “Geukeni, mkawaue makuhani wa Yehova, kwa sababu mkono wao pia uko pamoja na Daudi na kwa sababu walijua kwamba yeye ni mkimbizi wala hawakunifunulia habari hiyo!”+ Lakini wale watumishi wa mfalme hawakutaka kunyoosha mkono wao ili kuwashambulia makuhani wa Yehova.+ 18 Mwishowe mfalme akamwambia Doegi:+ “Wewe geuka, uwashambulie makuhani!” Mara moja Doegi Mwedomu+ akageuka yeye mwenyewe na kuwashambulia hao makuhani, na siku hiyo akawaua+ watu 85 wenye kuvaa efodi+ ya kitani. 19 Akapiga kwa makali ya upanga hata Nobu+ jiji la hao makuhani, mwanamume na mwanamke vilevile, mtoto na vilevile mtoto anayenyonya na ng’ombe na punda na kondoo kwa makali ya upanga.

20 Hata hivyo, mwana mmoja wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, ambaye jina lake lilikuwa Abiathari,+ akaponyoka, akakimbia amfuate Daudi. 21 Naye Abiathari akamjulisha Daudi: “Sauli amewaua makuhani wa Yehova.” 22 Ndipo Daudi akamwambia Abiathari: “Nilijua vema siku ile,+ kwa sababu Doegi Mwedomu alikuwa hapo, kwamba bila shaka atamwambia Sauli.+ Mimi binafsi nimeikosea kila nafsi ya nyumba ya baba yako. 23 Wewe kaa pamoja nami. Usiogope, kwa kuwa yeyote anayeitafuta nafsi yangu anaitafuta nafsi yako, kwa kuwa wewe ni mtu unayehitaji kulindwa pamoja nami.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki