Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • rs kur. 439-445
  • Fahirisi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi
  • Kutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
Kutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
rs kur. 439-445

Fahirisi

Fahrisi hii haiorodheshi kila jambo kuhusu kila kichwa kikuu. Ili upate habari nyingine zaidi, fungua kichwa (vichwa) kinachohusu habari hiyo katika kurasa zinazotangulia na usome vichwa vidogo.

Abiso,

Shetani kufungiwa humo, 274

Abrahamu, wake, 228

Adamu na Hawa, 25-27

dhambi—“mpango” wa Mungu? 27

dhambi, ilivyowezekana, 54, 55

kwa nini tunateseka kwa aliyofanya Adamu, 126-128

ndoa, 227

ukombozi kwa watoto, 79, 80

walitazamia kwenda mbinguni?, 198

watu wa kihistoria, 25, 26, 167, 168

Adhabu, taabu ni adhabu kutoka kwa Mungu?, 130, 131

adhabu ya milele, 156-159

baada ya kifo?, 303

Alfa na Omega, 375

Amani, 14, 314

Amri Kumi, zilipitilia mbali, 353, 354

Babiloni Mkubwa, atambulishwa, 27-32

haraka ya kukimbia, 31

Babiloni, jiji la kale, 28, 29

msalaba, 212, 213

ndoto, 232, 233

Petro katika Babiloni, 363, 364

unajimu, 30, 175

ungamo, 347

utatu wa miungu, 29

uvutano wa kidini leo, 28-31

Bangi, 50-52

Bendera, maoni ya Mkristo, 138, 139

Biblia, 9, 32-42

kusoma mwenyewe hakutoshi, 64, 69

kutegemeka kwa tafsiri, 37, 38, 294, 295

uthibitisho wa kuongozwa na roho, 34-37

Bikira, Maria, 182, 183

Chakula, wingi chini ya Ufalme, 315

nyama ya wanyama, 43

Chembe za urithi, ufunguo kwenye mageuzi?, 164

Damu, 42-48

Dawa za kulevya, bangi, 50, 51,53

kanuni za Biblia, 38, 39, 51-53

kuziacha, 53, 54

matokeo, 50-53

sigara, 51-53

Dhambi, ya Adamu, “mpango” wa Mungu?, 27, 172, 173

inavyowezekana kwa kiumbe mkamilifu, 54, 55

je, kuna dhambi siku hizi?, 56, 57

kutakaswa na, 303, 308, 309

Maria, hana dhambi?, 184

matokeo juu ya uhusiano na Mungu, 57, 58

msamaha, 308, 309, 348

ungamo, 350

watakatifu hawana dhambi? 408

ya kukusudia, 54, 347, 350

Dhiki kuu, watakaookolewa, 113, 114, 290, 291

Dini, 58-69

Babiloni Mkubwa, 27-32

dini moja ya kweli, 68, 69, 192, 193

iliyopangwa kitengenezo, 62-65

jinsi ya kutambua ya kweli, 60, 61

kuacha dini ya wazazi, 61, 62

kuchangamana na dini nyingine, 61, 62

kinachotofautisha Mashahidi wa Yehova, 188, 189

kwa nini dini nyingi sana, 58, 59

wema katika zote?, 60, 68

Duara ya mwangaza kichwani, 407, 408

Dunia, 69-74

dunia kudumu milele, 69-72, 84

ikiwa hakuna mtu atakayekufa, kila mtu ataishi wapi?, 73, 327

Paradiso ya wakati ujao, 238-242, 317, 318

umbo la sayari, 37

uzima wa milele duniani, 201, 202

uthibitisho wa uumbaji, 391

wakaaji—kurudi kutoka mbinguni?, 72, 73, 114

watakaookoka, baada ya ulimwengu mwovu kuisha, 113, 114, 290, 291

Enzi Kuu, suala, 272, 273, 352-354

Ufalme waitegemeza ya Yehova, 313

Esau, maisha yake yalipangiwa mapema?, 173

Fadhili, 13

Falsafa, 74-77

Familia, 10, 231

Fidia, 77-83

jinsi kifo cha Yesu kilivyokuwa tofauti, 77, 78

kwa nini inahitajiwa, 78-80

manufaa kwa nani, na kwa nini, 80, 81

matokeo gani juu ya jinsi tunavyotumia maisha yetu?, 83

watoto, 129

Funguo za Ufalme, 362, 363

Furaha, 11, 199, 265, 266

Gehena, 158, 159

Haki, 268, 316

Har–Magedoni, 10, 11, 84-88

mahali pa kupiganiwa, 85

watakaookoka, 86, 87

yatambulishwa, 84

Hekima, ya kweli, 74, 75

ya wanadamu, 75-77

Hukumu, ufufuo wa, 324, 325

Huzuni, juu ya kifo cha mpendwa, 104

Ibada, kwa wanadamu, 249, 250

kwa Yesu, 433, 433, 434

matumizi ya sanamu, 29, 30, 185, 186, 260-264, 407

msalaba, 214

si yote inayokubaliwa na Mungu, 59, 60

uumbaji wote kuungana, 313, 314

Ibilisi, 269-275

Imani, 91-94

imani pekee haitoshi, 94, 417, 418

inavyopatikana, 93

kwa nini si kila mtu anayo, 91, 92

Ishara za bahati, 143

Israeli, utimizo wa unabii wa Biblia, 412-414

Ista, 279

1914, Ufalme ulisimamishwa, 397-399

maoni ya wanahistoria wa kilimwengu, 289, 290

144,000, hesabu halisi, 203

ni Wayahudi wa asili tu?, 202, 203

ndio pekee wa kuokolewa?, 419

Jamii za Wanadamu, 94-99

asili moja, 25, 95

asili ya watu weusi, 97

sababu za tabia, 96, 97

Jeuri, 249

Jumuiya

mtazamo wa Mashahidi juu ya maendeleo, 196, 197

Kaini, mke, 95, 96

Kazi, Ufalme kuandaa, 11, 268, 315

Kiburi, 247, 248

Kifo, 13, 100-106

adhabu baada ya?, 156-160

cha Adamu, kuondolewa, 316, 317

desturi za kuomboleza, 104, 105

habari za “maisha mengine,” 102-104

kifo cha Yesu ni tofauti, 77, 78

kinachohusiana na uvutaji wa sigara, 52

maoni ya Kibabiloni, 30

Mungu alikusudia nini?, 100, 105, 329, 330

nafsi, 154, 155, 223, 224

tumaini la ufufuo, 107, 316, 322, 327

wakati uliamuliwa mapema?, 106, 169

Kitia-moyo, 106-110

Kivunja-moyo, 106-110

Krismasi, 275-278

Kuamuliwa mapema, Adamu, 172, 173

“ni mapenzi ya Mungu,” 170, 171

Wakristo, 174, 175

Yakobo na Esau, 173

Yuda Iskariote, 173, 174

(Ona pia “Majaliwa.”)

Kuchanganya imani mbalimbali, 61, 62

Kunyakuliwa, 110-115

Kufunika kichwa, sababu kwahitajiwa, 402-404

Kugeuzwa imani,

Ufalme haungojei ulimwengu wote ugeuzwe imani, 319

Wayahudi, 411, 412

Kujua mapema: ona “Majaliwa.”

Kukingiwa dhambi ya asili, kwa Maria, 184

Kuomboleza, kwa ajili ya wafu, 104, 105

Kupenda vitu vya kimwili, 248, 249, 333

Kurudi kwa Kristo, 115-120

kusikoonekana, 116-119

kuwapo, 115, 116, 119, 120

Kusema kwa Lugha, 120-124

kuonyesha kwamba mtu ana roho takatifu?, 120-122

zawadi kuendelea mpaka lini?, 122-124

Kutengana, kwa ndoa, 229

Kuteseka, 13, 124-131

kwa nini Mungu anaruhusu, 124-131

lawama kwa, 125-128, 170, 171

Mungu alikusudia hivyo?, 329, 330

uthibitisho kwamba hakuna Mungu?, 216, 217

watoto wenye kasoro, 128, 129

Kuteswa, kitia-moyo cha kuvumilia, 108

sababu Mashahidi huteswa, 195, 288, 289

Kutia damu mishipani, kujiepusha na damu, 42-45, 47, 48

matibabu badala ya damu, 45, 46

matumizi ya damu ya wanadamu, 44-46

watoto, 46

Kutoa Mimba, 131-133

Kutoa ushahidi, 66, 289, 304, 305

kwa ajili ya Yehova na Yesu, 197

nyumba kwa nyumba, 194, 195

Kutounga Mkono Upande Wowote, 133-139

bendera na nyimbo za taifa, 138, 139

kujiingiza siasani, 137, 138

vita vya kimwili, 135-137

Kutoweza Kufa,

chanzo cha imani ya Jumuiya ya Wakristo, 225, 226

nafsi za wanadamu zaweza kufa, 88, 89, 102, 223, 224

Kuvuta sigara, 51-53

Kuwapo, kwa Kristo, 115-120, 284,-289

Kuwasiliana na Pepo, 140-145

dawa za kulevya, 48, 49

kujitoa katika uvutano wa, 144, 145

madhara gani ukiendelea kuwasiliana na pepo?, 141, 142

yawezekana kusema na wafu?, 140, 141

Kuzaliwa Mara ya Pili, 145-149

kuokolewa bila kuzaliwa mara ya pili?, 146, 147

kuwa na roho takatifu bila kuzaliwa mara ya pili?, 147

kwa nini kwahitajiwa, 145, 146

Kuzaliwa Upya Katika Mwili Mwingine, 149-153

hisia ya kigeni ya kufahamiana na watu na mahali, 149, 150

tofauti na tumaini la Biblia, 152, 153

uthibitisho katika Biblia?, 150-152

Kuzimu na Jehanamu, 154-160

Gehena, 158-159

‘mateso ya milele,’ katika Ufunuo, 157, 158

nani waendao huko, 155, 156

tajiri na Lazaro, 159, 160

Laana, jamii ya watu weusi?, 97

Maamuzi, kupuuza mapenzi ya Mungu, 247-250, 334, 335

kutegemea unajimu, 175

Mababu, kuwapenda wakiwa hai bado, 90

ujumbe kutoka kwa wafu?, 90, 102-104

waliokufa hawawezi kusaidia au kudhuru yeyote, 89

Mabaki ya viumbe, mageuzi, 162-164

Madhehebu, Mashahidi si madhehebu, 190, 191

Mafarakano, 190, 191, 304

Mageuzi, 161-168

kutopatana kati ya wanasayansi, 162

mabaki ya viumbe 162-164

njia za kuhesabu wakati, 395, 396

picha za “nyani-mtu,” 164, 165

ni ya kisayansi?, 161, 162

yalitumiwa na Mungu?, 167, 168, 392, 393

Magonjwa, kuponya kwa imani, 355-357, 359, 360

uponyaji wa kudumu, 106, 107, 315, 359

Majaliwa, 106, 169-176

kila jambo limejulikana na kuamuliwa mapema na Mungu?, 171-175

kila jambo ni “mapenzi ya Mungu”?, 170, 171

“wakati wa kufa” umewekwa mapema?, 169

Malaika mkuu, Yesu Kristo, 436, 437

Mali, maisha yatawaliwa na tamaa ya, 248, 249

kujionyesha, 249

“Mama ya Mungu,” Maria, 183, 184

Manabii, kutambua wa kweli na wa uwongo, 176-179

Manabii wa Uwongo, 176-181

Mashahidi wa Yehova?, 180, 181

Maneno, ya kusisimuka, 120-122

Mapinduzi, 266, 267

Maria (Mama ya Yesu), 181-187

alikingiwa dhambi?, 184

bikira, 182, 183, 187

kuabudiwa, 186, 187

kusali kwa Maria, 185, 186

“Mama ya Mungu”?, 183, 184

mwili wenye nyama mbinguni, 184, 185

Masalio, kuheshimu, 407

Mashahidi wa Yehova, 188-197

dini ya Marekani?, 189-190

imani zinazowatofautisha, 188-189

jinsi kazi inavyogharimiwa, 190

masahihisho ya maoni, 179, 180, 194

mwanzo, 191

ndiyo dini ya kweli pekee?, 192, 193

sababu wanateswa, 195

si manabii wa uwongo, 180, 181

Mashirika, mabaya, 334

Masihi, sababu Wayahudi walimkataa Yesu, 429, 430

Matendo, yanayopatana na imani, 94, 417, 418

Mateso, tajiri na Lazaro, 159, 160

ya milele katika Ufunuo, 157, 158

“Mateso ya milele,” 156-159

Matetemeko ya nchi, siku za mwisho, 287, 292

kwa nini Mungu huruhusu, 125-128

Matukano, 249

Mawingu, ‘kunyakuliwa katika mawingu,’ 110, 111

Yesu ‘akija katika wingu,’ 111-113, 117, 118

Mbingu, 197-204

Bwana ‘kushuka kutoka mbinguni,’ 111, 112

hesabu ya wanaoenda mbinguni, 202, 203

kunyakuliwa, 110-115

miili ya watu mbinguni, 112, 113, 320-322, 435, 436

mwili wa Maria, 184, 185

paradiso, 238-240

sababu wengine kwenda mbinguni, 204, 322, 323

wakati Wakristo wanapopelekwa mbinguni, 110-114

wanaoenda huko, 197-200, 202-204

watakaoenda mbinguni watarudi duniani?, 72, 73, 114

Mbudha, kumhubiria, 21

Mhindu, kumhubiria, 21, 22

Mikaeli, atambulishwa, 436, 437

Misa, mara za kufanywa, 208

dhabihu, 204, 205, 207, 208

kitulizo cha nafsi toharani?, 208, 209

mkate kuwa mwili halisi na divai damu halisi, 205-207

Misiba, kwa nini Mungu huruhusu “ya asili,” 129, 130

Mistari, Biblia—sababu mingine yakosekana, 296

Mitume, kusamehe dhambi, 347, 348

Petro ndiye “mwamba”?, 360-362

Miujiza, ya leo, 177, 355-357

ya Yesu, 315, 434

Mke, cheo katika nyumba ya Kikristo, 401

zaidi ya mmoja?, 227-229

Moto, ubatizo wa, 310, 311

dunia kuangamizwa kwa moto?, 71-72

Moto wa mateso, chanzo cha imani, 160

Mpinga-Kristo, 209, 210

Msalaba, chanzo cha ule wa Jumuiya ya Wakristo, 212, 213

kifo cha Yesu, 211, 212

kutukuza, 214

Msamaha

mitume wapewa mamlaka kusamehe, 348

Mtenda-mabaya, ahadi ya Paradiso, 239-242

Mti, kifo cha Yesu, 211, 212

Mungu, 9, 10, 215-221

hana mwanzo, 217, 218

jina lake—linapopatikana katika tafsiri za Biblia, 420-422

mtu halisi, 217

“Mungu wa pekee wa kweli,” 219, 220, 373, 374

uthibitisho wa kuwako, 215-217, 221

Yesu kama mungu, 219, 220, 375, 377-380, 430-434

(Ona pia “Yehova.”)

Mwaka Mpya, kusherehekea, 279, 280

Mwamba, Kristo, si Petro, 360-362

Mwili wa binadamu, uliumbwa uishi milele, 331

uthibitisho wa uumbaji, 392

Mwislamu, kumhubiria, 23, 24

Mwokozi, Yehova, 375, 376

Yesu Kristo, 346, 375, 376, 438

Nafsi, kifo, 154, 155, 223, 224, 303

kutoweza kufa—chanzo cha imani, 103, 104, 223

kuzaliwa upya katika mwili mwingine, 149-153

ni nini, 222, 223

tofauti na roho, 224, 225

ufufuo, 320

Ndoa, jinsi ya kufanya iwe bora, 231

kuandikishwa kisheria, 226-229

kutengana, 229

mahusiano ya kingono kabla, 234, 235

ndoa ya wake wengi, 227-229

ndugu na dada, 230, 231

talaka, 229, 230

Ndoto, 232, 233

Ngono, 233-238, 333

kabla ya ndoa, 234, 235

maoni ya Biblia, 234

Ngono ya watu wa jinsia moja, 235, 236

Njaa, siku za mwisho, 286, 292

“Nyakati zilizowekwa za mataifa”

zinavyohesabiwa, 397-399

Nyimbo za taifa, maoni ya Mkristo, 138, 139

Nyoka, alisema na Hawa, 26

Nyota, unajimu, 30, 175, 176

nyota iliongoza wanajimu kwa Herode, 276, 277

Nyumba, 11, 268, 315

Paradiso, 238-242

duniani, 238, 239, 317, 318

mtenda-maovu katika Paradiso, 239-242

Petro, ‘funguo za ufalme,’ 362, 363

mapapa si warithi, 364

“mwamba”?, 360-362

Roma au Babiloni?, 360, 364

Pombe, bangi yatofautishwa, 51

matokeo ya kunywa kupita kiasi, 333, 334

Raha, ufuatiaji wa, 48, 49, 248

Roho, kutambua walio na roho takatifu, 120-122, 147, 243, 244

nguvu za utendaji za Mungu, 242, 243, 368, 369, 374

nguvu za utendaji za uhai—linalotukia wakati wa kifo, 223, 224, 244-246

ubatizo, 309, 311

Roho waovu, kuwasiliana na pepo, 140-145, 270, 271

uvutano juu ya mataifa, 88, 266, 274, 275

wachukua umbo la wanadamu?, 143, 144

walaumika kwa ajili ya uovu, 351, 352

Roho ya Ulimwengu, tabia zake, 247-250

Sabato, 250-257

umuhimu kwa Wakristo, 254-256

ya kila juma, kwa Wakristo, 250, 251

Sala, 257-260

ambao sala zao hazikubaliki, 258, 259

ambao sala zao Mungu husikia, 257, 258

kwa Maria, 185, 186

kwa “watakatifu,” 406, 407

mambo yanayofaa, 259, 260

Sanamu, 260-264

Maria, 185, 186

ya “watakatifu,” 262, 407

za Babiloni, 29, 30

zinasaidia katika ibada?, 261, 262

Sauli, alisema na “Samweli” kupitia mtu anayewasiliana na pepo, 140, 141

Sayansi, Biblia yatangulia mavumbuzi ya wanasayansi, 36, 37

imani katika Mungu, 215, 216

imani katika uumbaji, 390-392

maoni yanayopingana kuhusu mageuzi, 161-164

Sayari, uhai katika sayari nyingine?, 332

Serikali, 265-269

mtazamo wa Mkristo kuhusu ya kilimwengu, 134

sababu utawala wa wanadamu washindwa kutosheleza, 265-267

Ufalme wa Mungu, 267-269, 313-318

Sheoli, 154

Sheria ya Musa, kupitilia mbali, 253, 254

sehemu za “kisherehe” na za “kiadili,” 252-254

Shetani Ibilisi, chanzo chake, 271, 272

huongoza kwa hila mataifa kwenye Har–Magedoni, 88

kutupwa kutoka mbinguni, 274, 275, 399

kufungwa abiso, 274, 275

mtawala wa ulimwengu, 273

mtu wa kiroho, 269-271

mungu wa mfumo huu, 273

mwenye kulaumika kwa uovu, 351, 352

sababu akaruhusiwa kubaki, 272, 273

Siasa, dini kujiingiza, 30, 31

mtazamo wa Wakristo, 137, 138

Sigara, 51-53

Siku, urefu wa ile ya uumbaji, 165, 166, 394

Sikukuu, Krismasi, 275-278

Ista, 279

kwa kukumbuka “roho za wafu,” 280, 281

Mwaka Mpya, 179, 280

sikukuu za kitaifa, 282

Siku ya Mama, 281

Siku ya Wapendanao, 281

Sikukuu ya kuzaliwa, 282-284

Siku za mwisho, 12, 284-293

kwa nini zaendelea muda mrefu sana, 291

mwanzo, mwaka 1914, 289, 290

zinaendelea sasa, 284-289, 292

Sulemani, wake, 228, 229

Taabu, adhabu kutoka kwa Mungu?, 130, 131

Tafsiri, kutegemeka kwa Biblia, 37, 38, 294, 295

wakati tafsiri za Biblia zinapotofautiana, 379

Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, 293-297

jina Yehova katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo, 295, 296

mistari inayokosekana, 296

tafsiri ya namna gani, 294, 295

watafsiri, 294

Tajiri na Lazaro, mfano, 159, 160

Talaka, 229, 230

Tauni, siku za mwisho, 287

Tengenezo, 297-301

jinsi ya kutambua linaloonekana, 301

linahitajiwa?, 62-65

uthibitisho kwamba Mungu analo, 297-300

Tofauti kati ya makasisi na watu wa kawaida, 30

Toharani, 302, 303

Misa kwa wale walio katika, 208, 209

msingi wa fundisho, 302

Uaguzi, michezo, 143

Uasi, 248

Uasi-Imani, 304-307

mambo ya kuwatambulisha, 304-306

mtazamo kuwaelekea waasi-imani, 306

Uasi-sheria, siku za mwisho, 287, 288

Ubatizo, “kwa ajili ya wafu,” 310

kwa moto, 310, 311

kwa roho takatifu, 309

uzamisho wa maji, 308

Uchawi, 30, 37, 38

Ufalme, 12, 13, 311-319

“funguo za Ufalme,” 362, 363

kutoa ushahidi, 289

serikali, 311-313

utakayotimiza, 313-318

watawala pamoja na Kristo, 145, 146

wakati wa kuanzishwa, 318, 319, 397-399

Ufisadi, kuondolewa daima, 366, 367

Ufufuo, 320-327

mwili wa Yesu wa ufufuo, 320-322, 435, 436

tofauti na kuzaliwa upya katika mwili mwingine, 152, 153

wa duniani, 323-327

wa mbinguni, 322, 323

Uhai, 327-332

kusudi, 33, 34, 328, 329

kutoa mimba, 131-133

kutoheshimu, 47, 48, 51, 52

matokeo ya fidia juu ya uhai wetu, 83

sayari nyingine?, 332

uzima wa milele, 78-80, 201, 202, 331, 338, 339

Uhalifu, 13

ongezeko ni halisi, 287, 288

Uhuru, mielekeo ya kuepuka, 335, 336

Uhuru halisi bila viwango vya Biblia?, 332-335

Ukandamizaji, kitulizo kinachodumu, 266, 267

Ukichwa, 401

Ukosefu wa haki, 13, 108, 109

Ukumbusho, maana, 336-338

mara za, 339, 340

mifano ya ukumbusho, 337, 338

tarehe, 339, 340

wanaokula, 338, 339

Ukweli, ukweli ulio kamili, 40, 41

Ulimwengu, 340-343

chanzo, 36, 37

dini kujiingiza katika, 30, 31, 366

kugeuzwa imani, 319

kujilinda na roho yake, 246-250

maana ya hali, 33, 285-289

mtawala, 273, 341 342

mtazamo wa Wakristo juu ya, 66, 139, 189, 342, 343

mwisho wa, 341, 399, 400

waokokaji wa mwisho, 290, 291

Umati mkubwa, tumaini kuishi duniani, 203, 204

waokoka dhiki kuu, 113, 114

Umoja, uumbaji wote, katika ibada, 313, 314

jamii zote, 99

Unabii, 172, 344-346

ambao bado utatimizwa, 344, 345

kutimizwa, 34-37, 268, 285-289, 397-399

sababu gani tupendezwe nao, 245, 246

Unajimu, 30, 175, 275, 276

Ungamo, 347-350

Uongozi wa Mungu, ushuhuda katika Biblia, 34-37

Uovu, 92, 351-355

kwa nini ni mwingi sana, 351, 352

kwa nini baada ya kusimamishwa Ufalme, 399

lawama kuu, 172, 173, 351, 352

sababu Mungu anaruhusu, 352-355

taabu, adhabu ya Mungu?, 130, 131

uthibitisho kwamba hakuna Mungu?, 216, 217

Upendo, kwa wanadamu wenzetu, 63, 64

Mungu, hana upendo kwenye Har–Magedoni?, 87, 88

unapoa, 287, 288

wakosekana katika ulimwengu, 13

watambulisha dini ya kweli, 65, 66

Uponyaji wa kimuujiza, 355-360

hatari ya kuwasiliana na pepo, 141, 142, 359

kimuujiza—kwa roho ya Mungu leo?, 355-357, 359, 360

Upungufu wa chakula, siku za mwisho, 286

Urithi wa Upapa, 360-367

“funguo za ufalme,” 362, 363

mfuatano wa warithi, 364

Petro ndiye “mwamba”? 360-362

Petro katika Roma?, 363

Usalama, 13, 315, 316

Useja, 365, 366

Utaratibu wa tarehe za matukio

“nyakati zilizowekwa za mataifa,” 397-399

Utatu, 367-390

chanzo cha fundisho, 29, 365, 367, 368

mafundisho ya msingi katika imani hii ni ya Kibiblia?, 368-374

maandiko yanayotumiwa na Wana-Utatu yana msingi imara?, 374-388

msimamo wa wale wanaoshikilia, 388, 389

Uumbaji, 390-394

asili ya vitu vilivyotumiwa, 394

imani, katika ulimwengu wa kisayansi, 390-392

muundo kufanana, 393

wakati uliohusika, 394

Uzamisho, 308

Vipindi vya Wakati, kuhesabu 1914, 397, 399

njia za kisayansi za kuhesabia tarehe, 395, 396

umri wa wanadamu kabla ya Gharika, 396, 397

Vipodozi, kutumiwa na wanawake, 404

Vita,

Har–Magedoni, 84-88

Kanisa Katoliki, 366, 367

maoni ya Kikristo, 135-137

siku za mwisho, 285, 286

uhuru kutokana na vita, 14, 314

vita vya nyukilia, 70, 84

vya Israeli la kale, 135, 136

Vito, wanawake kuvitumia, 404

Wafu, hali, 102, 154, 155, 303

hawawezi kusaidia wala kudhuru walio hai, 89

kuzungumza na, 90, 103, 104, 140, 141

mahali walipo, 101

sikukuu za kukumbuka, 280, 281

ubatizo wa, 310

ufufuo, 107, 316, 320-327

Wahudumu, wanawake, 402

Wakati ujao, yanayotabiriwa na Biblia, 14, 171-175, 313-318, 344, 345

kwa nini kutowasiliana na pepo, 142, 143

Wakristo, jinsi ya kutambua wa kweli, 65-66, 122-124, 357, 358

mashahidi kwa ajili ya Yehova na Yesu, 197

Wanawake, Biblia haiwatendei kama watu duni, 400, 401

kifuniko cha kichwa, 402-404

vipodozi na vito, 404

wahudumu, 402

Wana wa Mungu, 98 145, 146

Wanyama, kuondoa damu, 43

kupatana na wanadamu, 317

nafsi, 222, 223

Watakatifu, 405-409

hawana dhambi yoyote?, 408

kusali kwa, 406, 407

mwangaza kichwani, 407, 408

sanamu na masalio, 362, 407

Watoto, kasoro za kuzaliwa, 128, 129

kifo, 101

kutia damu mishipani, 46

kwenye Har-magedoni, 87

maoni ya Mungu juu ya wasiozaliwa, 132

ubatizo wa watoto wachanga, 308

watoto wa Mungu, 98

Watu wanaowasiliana na pepo, ujumbe kutoka kwa wafu, 90, 140, 141

Watu weusi, laana juu ya Kanaani, 97

Wayahudi, 409-414

kutambuliwa kwa 144,000, 202, 203

kuwahubiria, 22, 23

wachaguliwa?, 409-412

wamkataa Yesu kuwa Masihi, 429, 430

Woga, siku za mwisho, 288

Yehova, 427

wafu, 89

Wokovu, 415-419

kwa 144,000 peke yao?, 419

kwa wale ‘wasiozaliwa mara ya pili’?, 146, 147

matakwa, 79, 80, 417, 418, 435

ukiisha kuokolewa, umeokolewa sikuzote?, 417

watu wote wataokolewa?, 415, 416

Wayahudi, 412

Yahweh, Yehova au Yahweh?, 423-425

Yakobo, maisha yake yalipangiwa mapema? 173

wake, 228, 229

Yehova, 419-427

hana mwanzo, 217, 218

jina katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo, 422, 423

jina—linapopatikana katika Biblia mbalimbali, 420-422

jina la Yesu katika “Agano la Kale”?, 426, 427

kutakaswa kwa jina lake, 313

Mungu wa pekee wa kweli, 219, 220, 373, 374, 379, 476, 477

umuhimu wa jina, 425, 426

Yahweh au Yehova?, 423-425

(Ona pia “Mungu.”)

Yesu Kristo, 427-438

“Adamu wa mwisho,” 26, 79, 80

alizaliwa na bikira, 182, 183

dhabihu ya fidia, 43, 77-83

kifo, 77, 78

kifo juu ya mti au msalaba?, 211, 212

‘kuja katika wingu,’ 112, 117, 118

Maandiko ya Kiebrania yanayomtaja Yehova na kutumiwa kwa Yesu, 375-377

mafundisho bora, 76, 77

mtu halisi, 428

mungu, siye Mungu, 379, 380, 431

“mwamba,” 360-362

mwili wa ufufuo, 320-322, 435, 436

Mwokozi, 435, 438

‘mzaliwa wa kwanza wa viumbe,’ 370

ni mtu mwema tu?, 428, 429

ufalme, 318, 319, 397-399

ukumbusho wa kifo chake, 207, 208, 336-340

uungu, 390

sababu Wayahudi wengi hawakumkubali, 429, 430

yanayohusiana na kuwapo, 115, 116, 119, 120, 284-293

Yehova si jina lake, 426, 427

Yuda Iskariote, aliamriwa mapema matokeo?, 173, 174

Zawadi za roho, kwa nini zatolewa, 358

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki