Fahirisi
Fahrisi hii haiorodheshi kila jambo kuhusu kila kichwa kikuu. Ili upate habari nyingine zaidi, fungua kichwa (vichwa) kinachohusu habari hiyo katika kurasa zinazotangulia na usome vichwa vidogo.
Abiso,
Shetani kufungiwa humo, 274
Abrahamu, wake, 228
Adamu na Hawa, 25-27
dhambi—“mpango” wa Mungu? 27
dhambi, ilivyowezekana, 54, 55
kwa nini tunateseka kwa aliyofanya Adamu, 126-128
ndoa, 227
ukombozi kwa watoto, 79, 80
walitazamia kwenda mbinguni?, 198
watu wa kihistoria, 25, 26, 167, 168
Adhabu, taabu ni adhabu kutoka kwa Mungu?, 130, 131
adhabu ya milele, 156-159
baada ya kifo?, 303
Alfa na Omega, 375
Amri Kumi, zilipitilia mbali, 353, 354
Babiloni Mkubwa, atambulishwa, 27-32
haraka ya kukimbia, 31
Babiloni, jiji la kale, 28, 29
msalaba, 212, 213
ndoto, 232, 233
Petro katika Babiloni, 363, 364
ungamo, 347
utatu wa miungu, 29
uvutano wa kidini leo, 28-31
Bangi, 50-52
Bendera, maoni ya Mkristo, 138, 139
kusoma mwenyewe hakutoshi, 64, 69
kutegemeka kwa tafsiri, 37, 38, 294, 295
uthibitisho wa kuongozwa na roho, 34-37
Bikira, Maria, 182, 183
Chakula, wingi chini ya Ufalme, 315
nyama ya wanyama, 43
Chembe za urithi, ufunguo kwenye mageuzi?, 164
Damu, 42-48
Dawa za kulevya, bangi, 50, 51,53
kanuni za Biblia, 38, 39, 51-53
kuziacha, 53, 54
matokeo, 50-53
sigara, 51-53
Dhambi, ya Adamu, “mpango” wa Mungu?, 27, 172, 173
inavyowezekana kwa kiumbe mkamilifu, 54, 55
je, kuna dhambi siku hizi?, 56, 57
Maria, hana dhambi?, 184
matokeo juu ya uhusiano na Mungu, 57, 58
ungamo, 350
watakatifu hawana dhambi? 408
Dhiki kuu, watakaookolewa, 113, 114, 290, 291
Dini, 58-69
Babiloni Mkubwa, 27-32
dini moja ya kweli, 68, 69, 192, 193
iliyopangwa kitengenezo, 62-65
jinsi ya kutambua ya kweli, 60, 61
kuacha dini ya wazazi, 61, 62
kuchangamana na dini nyingine, 61, 62
kinachotofautisha Mashahidi wa Yehova, 188, 189
kwa nini dini nyingi sana, 58, 59
Duara ya mwangaza kichwani, 407, 408
Dunia, 69-74
dunia kudumu milele, 69-72, 84
ikiwa hakuna mtu atakayekufa, kila mtu ataishi wapi?, 73, 327
Paradiso ya wakati ujao, 238-242, 317, 318
umbo la sayari, 37
uzima wa milele duniani, 201, 202
uthibitisho wa uumbaji, 391
wakaaji—kurudi kutoka mbinguni?, 72, 73, 114
watakaookoka, baada ya ulimwengu mwovu kuisha, 113, 114, 290, 291
Enzi Kuu, suala, 272, 273, 352-354
Ufalme waitegemeza ya Yehova, 313
Esau, maisha yake yalipangiwa mapema?, 173
Fadhili, 13
Falsafa, 74-77
Fidia, 77-83
jinsi kifo cha Yesu kilivyokuwa tofauti, 77, 78
kwa nini inahitajiwa, 78-80
manufaa kwa nani, na kwa nini, 80, 81
matokeo gani juu ya jinsi tunavyotumia maisha yetu?, 83
watoto, 129
Funguo za Ufalme, 362, 363
Gehena, 158, 159
mahali pa kupiganiwa, 85
watakaookoka, 86, 87
yatambulishwa, 84
Hekima, ya kweli, 74, 75
ya wanadamu, 75-77
Hukumu, ufufuo wa, 324, 325
Huzuni, juu ya kifo cha mpendwa, 104
Ibada, kwa wanadamu, 249, 250
matumizi ya sanamu, 29, 30, 185, 186, 260-264, 407
msalaba, 214
si yote inayokubaliwa na Mungu, 59, 60
uumbaji wote kuungana, 313, 314
Ibilisi, 269-275
Imani, 91-94
imani pekee haitoshi, 94, 417, 418
inavyopatikana, 93
kwa nini si kila mtu anayo, 91, 92
Ishara za bahati, 143
Israeli, utimizo wa unabii wa Biblia, 412-414
Ista, 279
1914, Ufalme ulisimamishwa, 397-399
maoni ya wanahistoria wa kilimwengu, 289, 290
ni Wayahudi wa asili tu?, 202, 203
ndio pekee wa kuokolewa?, 419
Jamii za Wanadamu, 94-99
asili ya watu weusi, 97
sababu za tabia, 96, 97
Jeuri, 249
Jumuiya
mtazamo wa Mashahidi juu ya maendeleo, 196, 197
Kaini, mke, 95, 96
Kazi, Ufalme kuandaa, 11, 268, 315
Kiburi, 247, 248
adhabu baada ya?, 156-160
cha Adamu, kuondolewa, 316, 317
desturi za kuomboleza, 104, 105
habari za “maisha mengine,” 102-104
kifo cha Yesu ni tofauti, 77, 78
kinachohusiana na uvutaji wa sigara, 52
maoni ya Kibabiloni, 30
Mungu alikusudia nini?, 100, 105, 329, 330
tumaini la ufufuo, 107, 316, 322, 327
wakati uliamuliwa mapema?, 106, 169
Kitia-moyo, 106-110
Kivunja-moyo, 106-110
Krismasi, 275-278
Kuamuliwa mapema, Adamu, 172, 173
“ni mapenzi ya Mungu,” 170, 171
Wakristo, 174, 175
Yakobo na Esau, 173
Yuda Iskariote, 173, 174
(Ona pia “Majaliwa.”)
Kuchanganya imani mbalimbali, 61, 62
Kunyakuliwa, 110-115
Kufunika kichwa, sababu kwahitajiwa, 402-404
Kugeuzwa imani,
Ufalme haungojei ulimwengu wote ugeuzwe imani, 319
Wayahudi, 411, 412
Kujua mapema: ona “Majaliwa.”
Kukingiwa dhambi ya asili, kwa Maria, 184
Kuomboleza, kwa ajili ya wafu, 104, 105
Kupenda vitu vya kimwili, 248, 249, 333
Kurudi kwa Kristo, 115-120
kusikoonekana, 116-119
Kusema kwa Lugha, 120-124
kuonyesha kwamba mtu ana roho takatifu?, 120-122
zawadi kuendelea mpaka lini?, 122-124
Kutengana, kwa ndoa, 229
kwa nini Mungu anaruhusu, 124-131
Mungu alikusudia hivyo?, 329, 330
uthibitisho kwamba hakuna Mungu?, 216, 217
watoto wenye kasoro, 128, 129
Kuteswa, kitia-moyo cha kuvumilia, 108
sababu Mashahidi huteswa, 195, 288, 289
Kutia damu mishipani, kujiepusha na damu, 42-45, 47, 48
matibabu badala ya damu, 45, 46
matumizi ya damu ya wanadamu, 44-46
watoto, 46
Kutoa Mimba, 131-133
Kutoa ushahidi, 66, 289, 304, 305
kwa ajili ya Yehova na Yesu, 197
nyumba kwa nyumba, 194, 195
Kutounga Mkono Upande Wowote, 133-139
bendera na nyimbo za taifa, 138, 139
kujiingiza siasani, 137, 138
vita vya kimwili, 135-137
Kutoweza Kufa,
chanzo cha imani ya Jumuiya ya Wakristo, 225, 226
nafsi za wanadamu zaweza kufa, 88, 89, 102, 223, 224
Kuvuta sigara, 51-53
Kuwapo, kwa Kristo, 115-120, 284,-289
Kuwasiliana na Pepo, 140-145
dawa za kulevya, 48, 49
kujitoa katika uvutano wa, 144, 145
madhara gani ukiendelea kuwasiliana na pepo?, 141, 142
yawezekana kusema na wafu?, 140, 141
Kuzaliwa Mara ya Pili, 145-149
kuokolewa bila kuzaliwa mara ya pili?, 146, 147
kuwa na roho takatifu bila kuzaliwa mara ya pili?, 147
kwa nini kwahitajiwa, 145, 146
Kuzaliwa Upya Katika Mwili Mwingine, 149-153
hisia ya kigeni ya kufahamiana na watu na mahali, 149, 150
tofauti na tumaini la Biblia, 152, 153
uthibitisho katika Biblia?, 150-152
Kuzimu na Jehanamu, 154-160
Gehena, 158-159
‘mateso ya milele,’ katika Ufunuo, 157, 158
nani waendao huko, 155, 156
tajiri na Lazaro, 159, 160
Laana, jamii ya watu weusi?, 97
Maamuzi, kupuuza mapenzi ya Mungu, 247-250, 334, 335
kutegemea unajimu, 175
Mababu, kuwapenda wakiwa hai bado, 90
ujumbe kutoka kwa wafu?, 90, 102-104
waliokufa hawawezi kusaidia au kudhuru yeyote, 89
Mabaki ya viumbe, mageuzi, 162-164
Madhehebu, Mashahidi si madhehebu, 190, 191
Mageuzi, 161-168
kutopatana kati ya wanasayansi, 162
mabaki ya viumbe 162-164
njia za kuhesabu wakati, 395, 396
picha za “nyani-mtu,” 164, 165
ni ya kisayansi?, 161, 162
yalitumiwa na Mungu?, 167, 168, 392, 393
Magonjwa, kuponya kwa imani, 355-357, 359, 360
uponyaji wa kudumu, 106, 107, 315, 359
kila jambo limejulikana na kuamuliwa mapema na Mungu?, 171-175
kila jambo ni “mapenzi ya Mungu”?, 170, 171
“wakati wa kufa” umewekwa mapema?, 169
Malaika mkuu, Yesu Kristo, 436, 437
Mali, maisha yatawaliwa na tamaa ya, 248, 249
kujionyesha, 249
“Mama ya Mungu,” Maria, 183, 184
Manabii, kutambua wa kweli na wa uwongo, 176-179
Manabii wa Uwongo, 176-181
Mashahidi wa Yehova?, 180, 181
Maneno, ya kusisimuka, 120-122
Mapinduzi, 266, 267
Maria (Mama ya Yesu), 181-187
alikingiwa dhambi?, 184
kuabudiwa, 186, 187
kusali kwa Maria, 185, 186
“Mama ya Mungu”?, 183, 184
mwili wenye nyama mbinguni, 184, 185
Masalio, kuheshimu, 407
Mashahidi wa Yehova, 188-197
dini ya Marekani?, 189-190
imani zinazowatofautisha, 188-189
jinsi kazi inavyogharimiwa, 190
masahihisho ya maoni, 179, 180, 194
mwanzo, 191
ndiyo dini ya kweli pekee?, 192, 193
sababu wanateswa, 195
si manabii wa uwongo, 180, 181
Mashirika, mabaya, 334
Masihi, sababu Wayahudi walimkataa Yesu, 429, 430
Matendo, yanayopatana na imani, 94, 417, 418
Mateso, tajiri na Lazaro, 159, 160
ya milele katika Ufunuo, 157, 158
“Mateso ya milele,” 156-159
Matetemeko ya nchi, siku za mwisho, 287, 292
kwa nini Mungu huruhusu, 125-128
Matukano, 249
Mawingu, ‘kunyakuliwa katika mawingu,’ 110, 111
Yesu ‘akija katika wingu,’ 111-113, 117, 118
Mbingu, 197-204
Bwana ‘kushuka kutoka mbinguni,’ 111, 112
hesabu ya wanaoenda mbinguni, 202, 203
kunyakuliwa, 110-115
miili ya watu mbinguni, 112, 113, 320-322, 435, 436
mwili wa Maria, 184, 185
paradiso, 238-240
sababu wengine kwenda mbinguni, 204, 322, 323
wakati Wakristo wanapopelekwa mbinguni, 110-114
wanaoenda huko, 197-200, 202-204
watakaoenda mbinguni watarudi duniani?, 72, 73, 114
Mbudha, kumhubiria, 21
Mhindu, kumhubiria, 21, 22
Mikaeli, atambulishwa, 436, 437
Misa, mara za kufanywa, 208
kitulizo cha nafsi toharani?, 208, 209
mkate kuwa mwili halisi na divai damu halisi, 205-207
Misiba, kwa nini Mungu huruhusu “ya asili,” 129, 130
Mistari, Biblia—sababu mingine yakosekana, 296
Mitume, kusamehe dhambi, 347, 348
Petro ndiye “mwamba”?, 360-362
Mke, cheo katika nyumba ya Kikristo, 401
zaidi ya mmoja?, 227-229
Moto, ubatizo wa, 310, 311
dunia kuangamizwa kwa moto?, 71-72
Moto wa mateso, chanzo cha imani, 160
Mpinga-Kristo, 209, 210
Msalaba, chanzo cha ule wa Jumuiya ya Wakristo, 212, 213
kifo cha Yesu, 211, 212
kutukuza, 214
Msamaha
mitume wapewa mamlaka kusamehe, 348
Mtenda-mabaya, ahadi ya Paradiso, 239-242
Mti, kifo cha Yesu, 211, 212
hana mwanzo, 217, 218
jina lake—linapopatikana katika tafsiri za Biblia, 420-422
mtu halisi, 217
“Mungu wa pekee wa kweli,” 219, 220, 373, 374
uthibitisho wa kuwako, 215-217, 221
Yesu kama mungu, 219, 220, 375, 377-380, 430-434
(Ona pia “Yehova.”)
Mwaka Mpya, kusherehekea, 279, 280
Mwamba, Kristo, si Petro, 360-362
Mwili wa binadamu, uliumbwa uishi milele, 331
uthibitisho wa uumbaji, 392
Mwislamu, kumhubiria, 23, 24
Mwokozi, Yehova, 375, 376
Yesu Kristo, 346, 375, 376, 438
Nafsi, kifo, 154, 155, 223, 224, 303
kutoweza kufa—chanzo cha imani, 103, 104, 223
kuzaliwa upya katika mwili mwingine, 149-153
ni nini, 222, 223
tofauti na roho, 224, 225
ufufuo, 320
Ndoa, jinsi ya kufanya iwe bora, 231
kuandikishwa kisheria, 226-229
kutengana, 229
mahusiano ya kingono kabla, 234, 235
ndoa ya wake wengi, 227-229
ndugu na dada, 230, 231
talaka, 229, 230
Ndoto, 232, 233
kabla ya ndoa, 234, 235
maoni ya Biblia, 234
Ngono ya watu wa jinsia moja, 235, 236
Njaa, siku za mwisho, 286, 292
“Nyakati zilizowekwa za mataifa”
zinavyohesabiwa, 397-399
Nyimbo za taifa, maoni ya Mkristo, 138, 139
Nyoka, alisema na Hawa, 26
nyota iliongoza wanajimu kwa Herode, 276, 277
Paradiso, 238-242
mtenda-maovu katika Paradiso, 239-242
Petro, ‘funguo za ufalme,’ 362, 363
mapapa si warithi, 364
“mwamba”?, 360-362
Pombe, bangi yatofautishwa, 51
matokeo ya kunywa kupita kiasi, 333, 334
Raha, ufuatiaji wa, 48, 49, 248
Roho, kutambua walio na roho takatifu, 120-122, 147, 243, 244
nguvu za utendaji za Mungu, 242, 243, 368, 369, 374
nguvu za utendaji za uhai—linalotukia wakati wa kifo, 223, 224, 244-246
Roho waovu, kuwasiliana na pepo, 140-145, 270, 271
uvutano juu ya mataifa, 88, 266, 274, 275
wachukua umbo la wanadamu?, 143, 144
walaumika kwa ajili ya uovu, 351, 352
Roho ya Ulimwengu, tabia zake, 247-250
Sabato, 250-257
umuhimu kwa Wakristo, 254-256
ya kila juma, kwa Wakristo, 250, 251
Sala, 257-260
ambao sala zao hazikubaliki, 258, 259
ambao sala zao Mungu husikia, 257, 258
kwa Maria, 185, 186
kwa “watakatifu,” 406, 407
mambo yanayofaa, 259, 260
Sanamu, 260-264
Maria, 185, 186
za Babiloni, 29, 30
zinasaidia katika ibada?, 261, 262
Sauli, alisema na “Samweli” kupitia mtu anayewasiliana na pepo, 140, 141
Sayansi, Biblia yatangulia mavumbuzi ya wanasayansi, 36, 37
imani katika Mungu, 215, 216
imani katika uumbaji, 390-392
maoni yanayopingana kuhusu mageuzi, 161-164
Sayari, uhai katika sayari nyingine?, 332
Serikali, 265-269
mtazamo wa Mkristo kuhusu ya kilimwengu, 134
sababu utawala wa wanadamu washindwa kutosheleza, 265-267
Ufalme wa Mungu, 267-269, 313-318
Sheoli, 154
Sheria ya Musa, kupitilia mbali, 253, 254
sehemu za “kisherehe” na za “kiadili,” 252-254
Shetani Ibilisi, chanzo chake, 271, 272
huongoza kwa hila mataifa kwenye Har–Magedoni, 88
kutupwa kutoka mbinguni, 274, 275, 399
kufungwa abiso, 274, 275
mtawala wa ulimwengu, 273
mtu wa kiroho, 269-271
mungu wa mfumo huu, 273
mwenye kulaumika kwa uovu, 351, 352
sababu akaruhusiwa kubaki, 272, 273
Siasa, dini kujiingiza, 30, 31
mtazamo wa Wakristo, 137, 138
Sigara, 51-53
Siku, urefu wa ile ya uumbaji, 165, 166, 394
Sikukuu, Krismasi, 275-278
Ista, 279
kwa kukumbuka “roho za wafu,” 280, 281
sikukuu za kitaifa, 282
Siku ya Mama, 281
Siku ya Wapendanao, 281
Sikukuu ya kuzaliwa, 282-284
kwa nini zaendelea muda mrefu sana, 291
mwanzo, mwaka 1914, 289, 290
zinaendelea sasa, 284-289, 292
Sulemani, wake, 228, 229
Taabu, adhabu kutoka kwa Mungu?, 130, 131
Tafsiri, kutegemeka kwa Biblia, 37, 38, 294, 295
wakati tafsiri za Biblia zinapotofautiana, 379
Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, 293-297
jina Yehova katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo, 295, 296
mistari inayokosekana, 296
tafsiri ya namna gani, 294, 295
watafsiri, 294
Tajiri na Lazaro, mfano, 159, 160
Talaka, 229, 230
Tauni, siku za mwisho, 287
Tengenezo, 297-301
jinsi ya kutambua linaloonekana, 301
linahitajiwa?, 62-65
uthibitisho kwamba Mungu analo, 297-300
Tofauti kati ya makasisi na watu wa kawaida, 30
Toharani, 302, 303
Misa kwa wale walio katika, 208, 209
msingi wa fundisho, 302
Uaguzi, michezo, 143
Uasi, 248
Uasi-Imani, 304-307
mambo ya kuwatambulisha, 304-306
mtazamo kuwaelekea waasi-imani, 306
Uasi-sheria, siku za mwisho, 287, 288
Ubatizo, “kwa ajili ya wafu,” 310
kwa moto, 310, 311
kwa roho takatifu, 309
uzamisho wa maji, 308
“funguo za Ufalme,” 362, 363
kutoa ushahidi, 289
serikali, 311-313
utakayotimiza, 313-318
watawala pamoja na Kristo, 145, 146
wakati wa kuanzishwa, 318, 319, 397-399
Ufisadi, kuondolewa daima, 366, 367
Ufufuo, 320-327
mwili wa Yesu wa ufufuo, 320-322, 435, 436
tofauti na kuzaliwa upya katika mwili mwingine, 152, 153
wa duniani, 323-327
wa mbinguni, 322, 323
Uhai, 327-332
kutoa mimba, 131-133
matokeo ya fidia juu ya uhai wetu, 83
sayari nyingine?, 332
uzima wa milele, 78-80, 201, 202, 331, 338, 339
Uhalifu, 13
ongezeko ni halisi, 287, 288
Uhuru, mielekeo ya kuepuka, 335, 336
Uhuru halisi bila viwango vya Biblia?, 332-335
Ukandamizaji, kitulizo kinachodumu, 266, 267
Ukichwa, 401
Ukumbusho, maana, 336-338
mara za, 339, 340
mifano ya ukumbusho, 337, 338
tarehe, 339, 340
wanaokula, 338, 339
Ukweli, ukweli ulio kamili, 40, 41
Ulimwengu, 340-343
chanzo, 36, 37
dini kujiingiza katika, 30, 31, 366
kugeuzwa imani, 319
kujilinda na roho yake, 246-250
mtazamo wa Wakristo juu ya, 66, 139, 189, 342, 343
waokokaji wa mwisho, 290, 291
Umati mkubwa, tumaini kuishi duniani, 203, 204
waokoka dhiki kuu, 113, 114
Umoja, uumbaji wote, katika ibada, 313, 314
jamii zote, 99
ambao bado utatimizwa, 344, 345
kutimizwa, 34-37, 268, 285-289, 397-399
sababu gani tupendezwe nao, 245, 246
Ungamo, 347-350
Uongozi wa Mungu, ushuhuda katika Biblia, 34-37
kwa nini ni mwingi sana, 351, 352
kwa nini baada ya kusimamishwa Ufalme, 399
lawama kuu, 172, 173, 351, 352
sababu Mungu anaruhusu, 352-355
taabu, adhabu ya Mungu?, 130, 131
uthibitisho kwamba hakuna Mungu?, 216, 217
Upendo, kwa wanadamu wenzetu, 63, 64
Mungu, hana upendo kwenye Har–Magedoni?, 87, 88
unapoa, 287, 288
wakosekana katika ulimwengu, 13
watambulisha dini ya kweli, 65, 66
Uponyaji wa kimuujiza, 355-360
hatari ya kuwasiliana na pepo, 141, 142, 359
kimuujiza—kwa roho ya Mungu leo?, 355-357, 359, 360
Upungufu wa chakula, siku za mwisho, 286
Urithi wa Upapa, 360-367
“funguo za ufalme,” 362, 363
mfuatano wa warithi, 364
Petro ndiye “mwamba”? 360-362
Petro katika Roma?, 363
Useja, 365, 366
Utaratibu wa tarehe za matukio
“nyakati zilizowekwa za mataifa,” 397-399
Utatu, 367-390
chanzo cha fundisho, 29, 365, 367, 368
mafundisho ya msingi katika imani hii ni ya Kibiblia?, 368-374
maandiko yanayotumiwa na Wana-Utatu yana msingi imara?, 374-388
msimamo wa wale wanaoshikilia, 388, 389
Uumbaji, 390-394
asili ya vitu vilivyotumiwa, 394
imani, katika ulimwengu wa kisayansi, 390-392
muundo kufanana, 393
wakati uliohusika, 394
Uzamisho, 308
Vipindi vya Wakati, kuhesabu 1914, 397, 399
njia za kisayansi za kuhesabia tarehe, 395, 396
umri wa wanadamu kabla ya Gharika, 396, 397
Vipodozi, kutumiwa na wanawake, 404
Vita,
Har–Magedoni, 84-88
Kanisa Katoliki, 366, 367
maoni ya Kikristo, 135-137
siku za mwisho, 285, 286
uhuru kutokana na vita, 14, 314
vya Israeli la kale, 135, 136
Vito, wanawake kuvitumia, 404
Wafu, hali, 102, 154, 155, 303
hawawezi kusaidia wala kudhuru walio hai, 89
kuzungumza na, 90, 103, 104, 140, 141
mahali walipo, 101
sikukuu za kukumbuka, 280, 281
ubatizo wa, 310
Wahudumu, wanawake, 402
Wakati ujao, yanayotabiriwa na Biblia, 14, 171-175, 313-318, 344, 345
kwa nini kutowasiliana na pepo, 142, 143
Wakristo, jinsi ya kutambua wa kweli, 65-66, 122-124, 357, 358
mashahidi kwa ajili ya Yehova na Yesu, 197
Wanawake, Biblia haiwatendei kama watu duni, 400, 401
kifuniko cha kichwa, 402-404
vipodozi na vito, 404
wahudumu, 402
Wanyama, kuondoa damu, 43
kupatana na wanadamu, 317
nafsi, 222, 223
Watakatifu, 405-409
hawana dhambi yoyote?, 408
kusali kwa, 406, 407
mwangaza kichwani, 407, 408
Watoto, kasoro za kuzaliwa, 128, 129
kifo, 101
kutia damu mishipani, 46
kwenye Har-magedoni, 87
maoni ya Mungu juu ya wasiozaliwa, 132
ubatizo wa watoto wachanga, 308
watoto wa Mungu, 98
Watu wanaowasiliana na pepo, ujumbe kutoka kwa wafu, 90, 140, 141
Watu weusi, laana juu ya Kanaani, 97
Wayahudi, 409-414
kutambuliwa kwa 144,000, 202, 203
kuwahubiria, 22, 23
wachaguliwa?, 409-412
wamkataa Yesu kuwa Masihi, 429, 430
Woga, siku za mwisho, 288
Yehova, 427
wafu, 89
Wokovu, 415-419
kwa wale ‘wasiozaliwa mara ya pili’?, 146, 147
matakwa, 79, 80, 417, 418, 435
ukiisha kuokolewa, umeokolewa sikuzote?, 417
watu wote wataokolewa?, 415, 416
Wayahudi, 412
Yahweh, Yehova au Yahweh?, 423-425
Yakobo, maisha yake yalipangiwa mapema? 173
wake, 228, 229
Yehova, 419-427
hana mwanzo, 217, 218
jina katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo, 422, 423
jina—linapopatikana katika Biblia mbalimbali, 420-422
jina la Yesu katika “Agano la Kale”?, 426, 427
kutakaswa kwa jina lake, 313
Mungu wa pekee wa kweli, 219, 220, 373, 374, 379, 476, 477
umuhimu wa jina, 425, 426
Yahweh au Yehova?, 423-425
(Ona pia “Mungu.”)
Yesu Kristo, 427-438
alizaliwa na bikira, 182, 183
kifo, 77, 78
kifo juu ya mti au msalaba?, 211, 212
‘kuja katika wingu,’ 112, 117, 118
Maandiko ya Kiebrania yanayomtaja Yehova na kutumiwa kwa Yesu, 375-377
mafundisho bora, 76, 77
mtu halisi, 428
mungu, siye Mungu, 379, 380, 431
“mwamba,” 360-362
mwili wa ufufuo, 320-322, 435, 436
‘mzaliwa wa kwanza wa viumbe,’ 370
ni mtu mwema tu?, 428, 429
ukumbusho wa kifo chake, 207, 208, 336-340
uungu, 390
sababu Wayahudi wengi hawakumkubali, 429, 430
yanayohusiana na kuwapo, 115, 116, 119, 120, 284-293
Yehova si jina lake, 426, 427
Yuda Iskariote, aliamriwa mapema matokeo?, 173, 174
Zawadi za roho, kwa nini zatolewa, 358